Kilala Makusaro
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 688
- 383
ameshiriki kujenga yy kama kiongoz wa jimbo hilo? Kwann hajashirikiana na wananchi kujenga?
Hiyo ramli ya kizanaki imeshirikije. Wapiga ramli mnashida sana. Wachawi mmekuwa janga la kitaifa.
ameshiriki kujenga yy kama kiongoz wa jimbo hilo? Kwann hajashirikiana na wananchi kujenga?
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Msofe wazindua Hospitali ambayo hawakushiriki kuijenga katika mbio za Mwenge!
Source; Habari Magazetini.
Ni kweli kabisa maana wachawi wote hisema wacha Mungu hawana akili. Hivi nyie mnaoagua nchi kwa ramli ya kizanaki ndio mna akili siyo. Na wote mnaokimbiza na kuudhuria mwenge mmeudhuria mabaraza ya wachawi. Ni wachawi.
Kabla hujaandika you should have used your common sense kwa kujiuliza
Lema ni Mbunge wa Arusha... alichaguliwa na wananchi wa Arusha ambao ni walipa kodi (pesa) hiyo hospitali imejengwa kwa kutumia pesa au magwanda ya ccm? So is msofe.
Lema na Msofe wote ni wawakilishi wa wananchi kama alivyo wassira and the like.
usiwe mvivu wa kufikiri.
Lema bana kwa nini asisubiri miradi yake ya Machinga Compelex na Hospital ya kinamama imalizike akaifungue.
Mwenge ni muhimu sana kwa taifa.. Ni tunu ya Taifa.
Kweli kabisa, ni Tunu ya ccm maana ndio UCHAWI ni tunu ya ccm, mnatumia kushinda. Toka watumishi wa Mungu waanze kuomba kinyume na hii ramli ya kizanaki naona mnachanganyokiwa na mkipoteza umaarufu. Hii ni ramli ka za akina mji marefu kifimbo shek yahaya ambao pia ni makada wa ccm. Hii ina maana nyie ni wachawi maana mnakula nao kuwatumia na wanawatawala. Huu ni mwisho wa ramli ya kizanaki itaenda makumbusho 2015.
We inaonekana ni mchawi ndio maana huupendi mwenge . Mwenge ni ishara ya Uhuru wa Mtanzania.
hayo matusi sasa. Lema ana akili sana ila si mwanasiasa mzuri. Ni mwana harakati! Hafai kuwa mbunge wa Arusha. CDM watafute mgombea mwingine makini vinginevyo jimbo ninaenda CCM au ACT.Kwani lema unadhani amewahi kuwa na akili hata siku moja?
Aaaaah aaaaah!! Jitaje uzuuri maana bible yangu haina mwenge. kama Mwenge unatetewa na Maji marefu ambaye ni baba yako mdogo tunakutengaje naye. Umeshitukiwa sasa unataka kuhamisha hoja. We si ulikuw kwenye mwenge na imeandikwa ole wao waabuduo moto.
... Source.: UHURU.
Mwenge hauhusiani na dini wala imani yoyote.. Mwenge unaashiria Uhuru na Utaifa.. Ni heshima kubwa kuwa na mwenge mpaka leo...
nimecheka hadi nimepaliwa SUPU ! LEO IBADA YA SHETANI IMEKUWA HESHIMA ? KWELI NJAA MBAYA SANA !
Mwenge hauhusiani na dini wala imani yoyote.. Mwenge unaashiria Uhuru na Utaifa.. Ni heshima kubwa kuwa na mwenge mpaka leo...