Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
Mkiona intarahamwe wanavyo haha kila kitu wanasema ni wao mpaka zile hoja zetu za mwaka 2010 kwenye kampeni walizosema hazitekelezeki sasa wanaona zinawafa nyie intarahamwe jipangeni kuwa chama cha upinzani pindi uchaguzi wa 2015 utakapofanyika nyie na mchepuko wenu wa Act