Lema na Msofe kituko Arusha!

Lema na Msofe kituko Arusha!

Msofe hakuchakingia kivipi?? Wakati katoa 8 milion ktk ujenzi wa kituo hicho?? Na tena yeye ni Naibu Meya kahisika kuallocate hicho kituo hapo
 
Viroba vinawasumbua. Lema mpaka aache viroba ndo akili yake itatengamaa
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Msofe wazindua Hospitali ambayo hawakushiriki kuijenga katika mbio za Mwenge!
Source; Habari Magazetini.

Jenga hoja kwa kuwa mkweli si blabla
 
Kila mtu yupo kazini kwake aisee
Naona mmekaa watatu mnajibisha wenyewe kwa wenyewe!!! Yaani Arusha saa hiz watu wako kwenye kazi hawapotezi muda. Lema ni raisi wa Arusha wala huna hata wazo la kumbadilisha. Na madiwani wa ccm waliobaki waambieni wakusanye virago. Mbona jk mwenyewe anajua hafanyi ziara arusha. Mtatukanaa lkn wanaarusha tunaelewa na sisi ndio final. Rukeni rukeni tumekuja " DELETE KABISA" Kufagia buibui wote maana arusha mlisha kaa chini.
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Msofe wazindua Hospitali ambayo hawakushiriki kuijenga katika mbio za Mwenge!
Source; Habari Magazetini.
Soma vizuri, Mh.Lema alishiriki uzinduzi wa miradi

Poleni sana kwa mnaoendelea kufuatilia Mwenge usiokuwa na tija kwenu.
Hivi kwa mini Lema na Meya walishiriki? Halafu wewe unasema kwa mini Mwenge unafuatiliwa
 
Swali liwe hivi: je Lema na Msofe walishiriki kuzindua miradi wakati Mwenge unapita? Au hio miradi ilizinduliwa na Lema/ Msofe bila Mwenge kuwepo?
Kabla hujaandika you should have used your common sense kwa kujiuliza

Lema ni Mbunge wa Arusha... alichaguliwa na wananchi wa Arusha ambao ni walipa kodi (pesa) hiyo hospitali imejengwa kwa kutumia pesa au magwanda ya ccm? So is msofe.

Lema na Msofe wote ni wawakilishi wa wananchi kama alivyo wassira and the like.
usiwe mvivu wa kufikiri.
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na Naibu Meya wa Jiji la Arusha Msofe wazindua Hospitali ambayo hawakushiriki kuijenga katika mbio za Mwenge!
Source; Habari Magazetini.
Sio magazetini sema iko kwenye gazeti la Uhuru!
 
Swali liwe hivi: je Lema na Msofe walishiriki kuzindua miradi wakati Mwenge unapita? Au hio miradi ilizinduliwa na Lema/ Msofe bila Mwenge kuwepo?
Kwani mwenge nini? Ndio uliojenga hospitali?
 
lema ni jembe jina lako likitanjwa mpaka mapofu yanawatoka, tulieni mwakani hata zito kata mlizo baki nazo tunachukua zote!
 
Mhh kwani anaye jenga ndio anatakiwa kuzindua?
Ni pale ulipohoji "au hio miradi ilizinduliwa na Lema/Msofe bila mwenge kuwepo?" ndipo nikahoji kwani miradi haiwezi kuzinduliwa mpaka mwenge uwepo?
 
Hivi kwanini miradi lazima izinduliwe? Rudia kusoma post, inaonekana Lema/Msofe walishiriki tukio la Mwenge kuzindua hio miradi
Ni pale ulipohoji "au hio miradi ilizinduliwa na Lema/Msofe bila mwenge kuwepo?" ndipo nikahoji kwani miradi haiwezi kuzinduliwa mpaka mwenge uwepo?
 
Back
Top Bottom