Lema muombe Lowassa msamaha uwe huru

Lema muombe Lowassa msamaha uwe huru

Yawezekana waliombana msamaha, kiushkaji. Na hapa sio Lema pekee, viongozi wengi wa CDM hii inawahusu. Lakini kwenye siasa kuna mambo ya ajabu, mtu anaweza kumtukana mwenzake baada ya muda wako wote wanakunywa juisi pamoja!


Lakini kwenye list ya waliobenza LOWASA wakajiondokea zao wale wa CCM siwakumbuki nikumbushe mkuu mmoja ni yule alieacha yule zezeta bungeni
 
Ndugu zangu,

Godbless Lema kipindi anafanya kampeni mnamo September 2013 kumpigia Debe Nassari alisikika akisema "...ni heshima kubwa kwa mungu kumuita Lowassa fisadi"..

Mengi yamepita na hata Lowassa alipojiunga CHADEMA Lema aliishi kwa wasiwasi. Tangu Nassari avuliwe ubunge Lema amekuwa kimya na mwenye aibu nyingi ukizingatia alivyompigania halafu dogo hayupo siriazi.

Ikumbukwe pia,Lema na Nassari walishiriki movie ya kuua na kuzika mbwa.

Ukweli utakuweka huru ndugu Lema,usiishi kwa wasiwasi na aibu,mtafute Lowassa na umuombe radhi.

Athari za kuchanganya bangi na ugoro!
 
Mleta uzi nakusalimu kinafiki na kukutahadharisha utafute kazi nyingine ya kufanya kuanzia 2020 kwani hutorudi tena bungeni! Isitoshe, hiyo nafasi unayohudumu hutoshi tena kwani hakuna ulilolifanya kuiwezesha timu yetu ya taifa ishinde na hata ushindi wa Mwakinyo hauna baraka za ofisi yako bali ni nguvu zake binafsi na maswahiba wake wachache! Wewe umelala fofofo ukiwa umevimbiwa posho na marupurupu yatokanayo na kodi zetu tu ukimuwaza Mbowe, Lema na cdm as if ndio wamiliki wa ofisi yako!
Kumhusu Lowasa unahusika moja kwa moja kumchafua ukishirikiana na msukuma na kina kibajaji! Mlimdhalilisha sana na kumkebehi mno hadi watu wakampa kura za pole mlizozipora!
Muombe radhi usijepata ya yule wa mahenge kwani dua za wazee wa aina yake husikilizwa sana na mwenyezi Mungu!
 
Lakini kwenye list ya waliobenza LOWASA wakajiondokea zao wale wa CCM siwakumbuki nikumbushe mkuu mmoja ni yule alieacha yule zezeta bungeni
Nimemsahau unaweza kunikumbusha, kama fursa ya kumbukizi imeshakurejea
 
Mleta uzi nakusalimu kinafiki na kukutahadharisha utafute kazi nyingine ya kufanya kuanzia 2020 kwani hutorudi tena bungeni! Isitoshe, hiyo nafasi unayohudumu hutoshi tena kwani hakuna ulilolifanya kuiwezesha timu yetu ya taifa ishinde na hata ushindi wa Mwakinyo hauna baraka za ofisi yako bali ni nguvu zake binafsi na maswahiba wake wachache! Wewe umelala fofofo ukiwa umevimbiwa posho na marupurupu yatokanayo na kodi zetu tu ukimuwaza Mbowe, Lema na cdm as if ndio wamiliki wa ofisi yako!
Kumhusu Lowasa unahusika moja kwa moja kumchafua ukishirikiana na msukuma na kina kibajaji! Mlimdhalilisha sana na kumkebehi mno hadi watu wakampa kura za pole mlizozipora!
Muombe radhi usijepata ya yule wa mahenge kwani dua za wazee wa aina yake husikilizwa sana na mwenyezi Mungu!
Nje ya mada
 
Ndugu zangu,

Godbless Lema kipindi anafanya kampeni mnamo September 2013 kumpigia Debe Nassari alisikika akisema "...ni heshima kubwa kwa mungu kumuita Lowassa fisadi"..

Mengi yamepita na hata Lowassa alipojiunga CHADEMA Lema aliishi kwa wasiwasi. Tangu Nassari avuliwe ubunge Lema amekuwa kimya na mwenye aibu nyingi ukizingatia alivyompigania halafu dogo hayupo siriazi.

Ikumbukwe pia,Lema na Nassari walishiriki movie ya kuua na kuzika mbwa.

Ukweli utakuweka huru ndugu Lema,usiishi kwa wasiwasi na aibu,mtafute Lowassa na umuombe radhi.

Umekurupuka usingizini ama? Huu uzi ni kwa ajili ya Lema na Nassary au ni kwa ajili ya Lema na Lowassa? Kama ni Lema na Nassary basi kesi iko mahakamani na Lema na Nassary hawana matatizo, kama ni kwa ajili ya Lema na Lowassa basi hakuna uongo Lema aliosema kuhusu ufisadi bali ulikuwa ukweli, na hata alipoondoka nyumbani kwenda cdm watu wa nyumbani kwake walidhihirisha hilo, yupo mmoja mkubwa kabisa alisema Lissu anaulizia mwenye richmond wakati wako naye kwenye kampeni, mara wengine walisema cdm wamepokea jizi, hebu tulizana ndugu siyo lazima kuanzisha uzi.
 
Ndugu zangu,

Godbless Lema kipindi anafanya kampeni mnamo September 2013 kumpigia Debe Nassari alisikika akisema "...ni heshima kubwa kwa mungu kumuita Lowassa fisadi"..

Mengi yamepita na hata Lowassa alipojiunga CHADEMA Lema aliishi kwa wasiwasi. Tangu Nassari avuliwe ubunge Lema amekuwa kimya na mwenye aibu nyingi ukizingatia alivyompigania halafu dogo hayupo siriazi.

Ikumbukwe pia,Lema na Nassari walishiriki movie ya kuua na kuzika mbwa.

Ukweli utakuweka huru ndugu Lema,usiishi kwa wasiwasi na aibu,mtafute Lowassa na umuombe radhi.
Wakati wewe uko busy hapa kupika siasa za mtaroni majukumu yako ya ofisi yanafanywa na Bashite pamoja na stive nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiandae wewe! Baada ya pasaka hicho cheo cha kinafiki ulichohongwa kinakwenda kuchukuliwa na wewe utarudi kukaa backbench kupigapiga meza! Pata uzoefu kwa kina mwigulu na nape wa namna ya kuishi bila unaibu!
Tena hapo kwa mwigulu atapata uzoefu sana kwasababu ndiyo anamkojoza huyu binti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom