Asante kwa kuja "pumbani"Pumba zimeanza mapema sana leo..
Sijui hii siku itaishaje kwa kuanza hivi.
Nje ya madaMkuu Wakudadavuwa unaonaje Wewe ukianza kumuomba Msamaha maana umemtukana na kumuita Lowasa fisadi Mara nyingi zaidi ya Lema..
Ndugu zangu,
Godbless Lema kipindi anafanya kampeni mnamo September 2013 kumpigia Debe Nassari alisikika akisema "...ni heshima kubwa kwa mungu kumuida Lowassa fisadi"..
Mengi yamepita na hata Lowassa alipojiunga CHADEMA Lema aliishi kwa wasiwasi. Tangu Nassari avuliwe ubunge Lema amekuwa kimya na mwenye aibu nyingi ukizingatia alivyompigania halafu dogo hayupo siriazi.
Ikumbukwe pia,Lema na Nassari walishiriki movie ya kuua na kuzika mbwa.
Ukweli utakuweka huru ndugu Lema,usiishi kwa wasiwasi na aibu,mtafute Lowassa na umuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshaona jinsi posti zetu zinavyoyumbishwa na hamahama ya wanasiasa hilo laweza kukutokea. Lakini pia kwa muungwana, kila unapomnyooshea mwenzako kidole ukumbeke vidole vinne vinakuelekea wewe. Kama iwapo inathibitika aidha humu jukwaani au penginepo ulifanya hivyo ni vema ukamuomba radhi.
Wenzako huko lumumba wamegeuzia mashambulizi ACT Wazalendo, wewe sijui ulisahaulika wapiPumba zimeanza mapema sana leo..
Sijui hii siku itaishaje kwa kuanza hivi.
Hujaleta mada, Umetoa Ushauri wa Kinafki na tuhuma zisizo na Mashiko..
Yawezekana waliombana msamaha, kiushkaji. Na hapa sio Lema pekee, viongozi wengi wa CDM hii inawahusu. Lakini kwenye siasa kuna mambo ya ajabu, mtu anaweza kumtukana mwenzake baada ya muda wako wote wanakunywa juisi pamoja!
Nje ya madaKwani kina Polepole , Nape Msukuma umekwisha wataarifu? mkuu punguza kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi huu ni wa LemaNinyi mliokuwa mkimtukana tena matusi ya nguoni bila aibu. Hivi sasa mmeamua kuja na style mpya ya kumsafisha/kujipendekeza kwake kwa kisingizio cha Mh Lema?? Mlimuita nyoka sasa mnaishi nae chumba kimoja. Pambaneni na hali yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nje ya madaunazungumzia Lowassa mzee wa kujiharishia ? ambae CCM akina Celina Komba waliogopa hiki kizee kuwafia ikulu japo wamekufa wao ??
ndio hicho kizee ? kilichokaribishwa kikakimbia kabla hata mwenyeji wake hajatoka gerezani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana hujajua hlo kund ncje potza energy bureMimi sipo kundini na wala sitakaa niwe kundini ndugu yangu!
Mbona povu asubuhi asubuhi?
Oops nimesahau
WALAHI