Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Lema ni mbabaishaji sana.
wewe inabidi uombe kuongezwa kwa posho kutoka buku saba mnazolipwa.unajitahidi kumwaga pumba zako humu.Lema alionesha dhamira yake tu.yawezekana amejadiliana na viongozi wake na kuamua kusonga mbele ifweero,mimi nashangaa jinsi mlivyojazana vilaza humo.
Ni kweli kabisa Mkuu ndio maana alimbabaisha mama yako ukazaliwa weweLema ni mbabaishaji sana.
Ni kweli kabisa Mkuu ndio maana alimbabaisha mama yako ukazaliwa wewe
Ni kweli kabisa Mkuu ndio maana alimbabaisha mama yako ukazaliwa wewe
Ni kweli kabisa Mkuu ndio maana alimbabaisha mama yako ukazaliwa wewe
Lema bado yupo Dom, anambwelambwela tu
Kwani wewe na Lizaboni ni wanaume? Mbona nasikia huwa mnaonekana kwenye vikao vya kitchen party?mkuu hivi dodoma hakuna wanaume?
Hii ni ''wiki ijayo'' ambayo Lema alitujuza kuwa ataondoka Dodoma,tafadhali aage kuwa keshaondoka🙂
mind your own business
Wakuu mwenye taarifa naomba anisaidie ili tujue bunge letu la katiba limebaki na wajumbe wangapi?
unapokuta wanaume wamekaa sebuleni wanazungumza wewe unatoka jikoni kupika na kudandia mada utapewa talaka.changia hoja acha ukabila wa kijinga we mla sembe