Lema ni mtu makini. Anaweza kusimamia anachokiamini,tulizeni munkari.
unaweza ukanieleza umakini wa lema busara inaitajika
Lema ni mtu makini. Anaweza kusimamia anachokiamini,tulizeni munkari.
UKAWA wamenikataza,wameniambia hakuna kutoka hapa mpk kieleweke.kaka yangu Lissu amenipa falsafa ya "winners never quite" nkamuelewa. Makamanda,mimi nipo
nyote mnaochangia hapa mmekaa kikabila,mmejawa na ushabiki wa hisia badala ya kujenga hoja zenye masiko kwa manufaa ya jamii
Ni kweli kabisa Mkuu ndio maana alimbabaisha mama yako ukazaliwa wewe
wewe inabidi uombe kuongezwa kwa posho kutoka buku saba mnazolipwa.unajitahidi kumwaga pumba zako humu.Lema alionesha dhamira yake tu.yawezekana amejadiliana na viongozi wake na kuamua kusonga mbele ifweero,mimi nashangaa jinsi mlivyojazana vilaza humo.
Lema hawezi kuacha hela. Hata kama ingekuwa ni elfu ishirini kwa siku.
Kwani hataki pesa;
Ngoja tuone.