Lema keshaondoka Dodoma?

Lema keshaondoka Dodoma?

Kwani alisema "nitaondoka" au "natarajia kuondoka"? Lugha nayo ikikupiga chenga inakuwa matatizo sana.
 
Mbona hii sio issue,aondoke au abakie haitaleta chochote.hebu leteni thread za kujenga tuumize kichwa.
 
aisee babayangu kila siku lakitatu,lema acha kuchezea bahati.lema acha utoto ebu chukuwa hizo pesa bwana.
 
nyote mnaochangia hapa mmekaa kikabila,mmejawa na ushabiki wa hisia badala ya kujenga hoja zenye masiko kwa manufaa ya jamii
 
Sio Lema tu, wiki ijayo wataondoka wengi bungeni. Ametumia busara kutoharakisha.
 
Ah Mangi ambaye ni Mnec na mfuasi wa lowassa ambaye ni shabiki wa CDM!

deo kila mtu anayekosoa ccm ni cdm,kwahiyo fulukunjombe,kangi lugola,kingwangala na lembeli aliyesema ccm sio mama yangu ni mshabiki wa cdm,jenga hoja acha ushabiki deo
 
Khaa!! Lema hawezi acha laki3 aslan. Aache halafi wale vijana wake watapata wapi bangili na viro??
 
UKAWA wamenikataza,wameniambia hakuna kutoka hapa mpk kieleweke.kaka yangu Lissu amenipa falsafa ya "winners never quite" nkamuelewa. Makamanda,mimi nipo

Tulijua ile ilikuwa ni Prom tu, huwezi kuziachia Posho , vp Suala muungano Mbona Lema hathubutu kuwachana kuhusiana na Ukoloni wao kwa Tanganyika ?
 
unsound mind discus people......wabunge wenu wa ccm wanaongea utumbo bungeni na mashabiki wenu nao utumbo tu mitaani
 
Lema alitangaza kuwa anaondoka dodoma wiki ijayo, naona wiki zinakatika tu hakuna kinachoendelea...vipi posho zimemnogea? Chezea posho weye? Tunataka viongozi wenye msimamo, akisema jambo anamaanisha na anatekeleza sio hadaa kwa wananchi kumbe anatafuta cheap popularity...
 
Back
Top Bottom