Lema keshaondoka Dodoma?

Lema keshaondoka Dodoma?

lema nakushauri upambane mpaka mwisho,tatizo hulikimbii bali unalitatua,unatuhubiria kila siku kwamba uoga ni dhambi ni mwiko kwako.dhihirisha sasa
 
Baada ya kalenga hakuwahi sikika ili bidi achimbe mkwara tujue yupo pia kitu vijana wake walifanyiwa kalenga Imemuuma Sana
 
Tumemshauri asiondoke kwanza, kuna mambo ambayo yanatakiwa kuwekwa sawa. Ukweli ni kuwa watakaoondoka ni wengi tunasubiri tu jambo moja litokee.
 
Lema nipo naye MBUYU WA MJERUMANI BBT VIJIJINI Tunaenda Arusha.
 
Naamini ataondoka baada ya pendekezo la serikali 3 kukataliwa na ma-CCM! Na wataondoke wengi wa CHADEMA pamoja na Mtikila wa UDP.

Huu ni mtazamo wangu tu.
 
Soma vizuri, kesho never comes? hata ukisoma post yake leo itakuwa wiki ijayo tu, unless angekuwa amespecify date. Subiri mpaka zibaki siku tatu ndo atajitoa........Chezea posho wewe.
Hii ni ''wiki ijayo'' ambayo Lema alitujuza kuwa ataondoka Dodoma,tafadhali aage kuwa keshaondoka🙂
 
Akiondoka jamaa watamwekea posho ya kikao kwenye akaunti yake ili bajeti ya bunge la katiba isiharibike. Pesa muhimu kuliko hata aina ya katiba itakayopatikana.
 
Hii ni ''wiki ijayo'' ambayo Lema alitujuza kuwa ataondoka Dodoma,tafadhali aage kuwa keshaondoka🙂

Wengine mnashindwa kutulia na wake zenu mpaka mnawafanya wanajiuza kisa tu kujadili wanaume wenzenu, aondoke ama asiondoke inabadilisha vp maisha yako ww....zaidi anastahiri pongezi kwa kuepusha matumizi ya kodi ya mkeo anayokatwa through VAT anaponunua pe==di. umechagua fungu lisilo jema bora ungecheza na watoto wako sebuleni ningekuona unamaana.....
 
Back
Top Bottom