Lema awashauri wakristo wa Kaloleni kutokwenda kanisani tarehe 16 Juni ili washiriki uchaguzi

Status
Not open for further replies.

Boko haram

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
3,253
1,229
Akihutubia wakazi wa kata ya Kaloleni leo hii mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema amewaambia wakazi wa kata ya Kaloleni ikifika tarehe 16/7/2013 hakuna kwenda kanisani kwasababu hata kumchagua kiongozi mzuri ni ibada na amewaambia wachungaji siku hiyo wasamehe mambo ya sadaka,hayo maneno ameyasema akimtambulisha mgombea wa Chadema kata ya Kaloleni bwana Emannuel Kessy.


Kwanza kabisa tarehe ya uchaguzi mdogo ni tareh 16/06/2013 na siyo kama alivyosema mleta maada, Mh. Lema amesema ikiimanisha kuwa kumekuwepo na kasumba ya wakristo kulalamika kuwa hawakumchagua kiongozi furani eti walikuwa kanisani sasa Mh. amewaambia hata kumchagua kiongozi bora ni ibada pia hivyo wahakikishe wanapiga kura siku hiyo kumchagua kiongozi bora...
 
Yaani tuache kumtii MUNGU kwa kwenda kanisani eti tumtii LEMA?huu ni upuuzi.
Mungu na LEMA nani zaidi?
 
Naona kapitiwa, yeye ni nani mpaka azuie watu wasiende kumwabudu Mungu? Kauli yake inaweza kumponza.
 
Akihutubia wakazi wa kata ya Kaloleni leo hii mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema amewaambia wakazi wa kata ya Kaloleni ikifika tarehe 16/7/2013 hakuna kwenda kanisani kwasababu hata kumchagua kiongozi mzuri ni ibada na amewaambia wachungaji siku hiyo wasamehe mambo ya sadaka,hayo maneno ameyasema akimtambulisha mgombea wa Chadema kata ya Kaloleni bwana Emannuel Kessy.

Ila wewe mleta uzi sina imani na wewe kulingana na ID yako hiyo.
 
Mbona siku ya uchanguzi mkuu 2010 kanisani kwetu kulikuwa Hakuna ibada kwa ajili ya uchaguzi kumbuka na Mungu anajua na anapenda ss tupate viongozi
 
Boko haram nina hofu sana maneno haya yako!

Akihutubia wakazi wa kata ya Kaloleni leo hii mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema amewaambia wakazi wa kata ya Kaloleni ikifika tarehe 16/7/2013 hakuna kwenda kanisani kwasababu hata kumchagua kiongozi mzuri ni ibada na amewaambia wachungaji siku hiyo wasamehe mambo ya sadaka,hayo maneno ameyasema akimtambulisha mgombea wa Chadema kata ya Kaloleni bwana Emannuel Kessy.
 
Last edited by a moderator:
haha lema bana.. kwa hiyo ni keshaongea na ma padri.. nikisema hiki chama cha kidini mnamwaga povu ... haya lema katoa amri hakuna kwenda kanisani .. hahahaha
 
Naona kapitiwa, yeye ni nani mpaka azuie watu wasiende kumwabudu Mungu? Kauli yake inaweza kumponza.
Ukiwa Na ahadi Na demu au buzi lako jipya siku au wakati wa kwenda kwenye ibada unafanyaje?think big
 
Wakienda chachi atawapa adhabu huyo. Watu wanalewa na sifa za kisiasa balaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mleta mada ni mfuasi wa kile chama ambacho kinataka kutuletea wavuta bange eti wafundishe hisabati na sayansi kimu wakati sisi tunawajua wanajua kutumia calculators tuuu !!
 
Akihutubia wakazi wa kata ya Kaloleni leo hii mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema amewaambia wakazi wa kata ya Kaloleni ikifika tarehe 16/7/2013 hakuna kwenda kanisani kwasababu hata kumchagua kiongozi mzuri ni ibada na amewaambia wachungaji siku hiyo wasamehe mambo ya sadaka,hayo maneno ameyasema akimtambulisha mgombea wa Chadema kata ya Kaloleni bwana Emannuel Kessy.

hujuma kama hizi si kwa CHADEMA Arusha; mnajisumbua!
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1369846489160.jpg
    uploadfromtaptalk1369846489160.jpg
    3.2 KB · Views: 924
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom