Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Leo mahakama imefurika mapema, hali ya hewa ni nzuri,
Updates:
- Bado hukumu haijaanza kusikilizwa, nyuso za wakombozi zimejaa bashasha. Hii ni dalili nzuri kwa kupokea matokeo!
- Viongozi wote wachadema ndio (Mh Mbowe na waambata wote) wanaingia, watu pipooooziii
- Kamanda Lissu ndio anaingia watu pipooziiii
- Naaam kamanda, Ben Saanane ndio anaingia. Sasa kazi mtindo mmoja, ukombozi unakaribia
- M/kiti wa Bavicha Heche ameshawasili eneo la tukio. Bado tunawasubiri majaji tu
Lema, Mbowe na Mnyika wakiwa Mahakamani
Hawa ndo waliofungua kesi
More Updates:
- Tumeamriwa kuzima simu zote, sasa majaji wanaingia,
- Kwanza hukumu inaanza kusomwa!
- Kwanza inasomwa historia ya kesi hii, tukio kwa tukio
- Mtanisamehe sitaripoti kila kinachotamkwa na msoma hukumu, naripoti yale muhimu tu, mfano vifungu vinavyo muingiza au kumtoa mrufani na hitimisho la mahakama tu!,
- Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udharirishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji (CCM)
Tumeshindaaaaa!
Tangu sasa Lema ni mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema,
CCM wameamriwa kulipa gharama za kesi hii tangu ilipofunguliwa mpaka ilipoishia!
Picha baada ya ushindi:
[video=youtube_share;Jv0H_81TCoI]http://youtu.be/Jv0H_81TCoI[/video]
Updates:
- Bado hukumu haijaanza kusikilizwa, nyuso za wakombozi zimejaa bashasha. Hii ni dalili nzuri kwa kupokea matokeo!
- Viongozi wote wachadema ndio (Mh Mbowe na waambata wote) wanaingia, watu pipooooziii
- Kamanda Lissu ndio anaingia watu pipooziiii
- Naaam kamanda, Ben Saanane ndio anaingia. Sasa kazi mtindo mmoja, ukombozi unakaribia
- M/kiti wa Bavicha Heche ameshawasili eneo la tukio. Bado tunawasubiri majaji tu
Lema, Mbowe na Mnyika wakiwa Mahakamani
Hawa ndo waliofungua kesi
More Updates:
- Tumeamriwa kuzima simu zote, sasa majaji wanaingia,
- Kwanza hukumu inaanza kusomwa!
- Kwanza inasomwa historia ya kesi hii, tukio kwa tukio
- Mtanisamehe sitaripoti kila kinachotamkwa na msoma hukumu, naripoti yale muhimu tu, mfano vifungu vinavyo muingiza au kumtoa mrufani na hitimisho la mahakama tu!,
- Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udharirishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji (CCM)
Tumeshindaaaaa!
Tangu sasa Lema ni mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema,
CCM wameamriwa kulipa gharama za kesi hii tangu ilipofunguliwa mpaka ilipoishia!
Hiyo ndiyo habari.
Mahakama ya Rufaa imeona kuwa hoja madai ya washitaki hayakuathiri mwenendo wa uchaguzi.
Picha baada ya ushindi:
[video=youtube_share;Jv0H_81TCoI]http://youtu.be/Jv0H_81TCoI[/video]