Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,514
- 272,218
nimecheka sana !Ukiwa unatokea Moshi baada ya kupita Bomang'ombe kuna kibao mkono wa Kulia kimeandikwa SASA UNAINGIA CHADEMA! Hata watu wa TANROAD wanakijua na wamekiacha!
kitendo cha kufuta unyonge na uoga miongoni mwa wananchi hakika kimekupa heshima kubwa ndani na nje ya nchi .Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.
Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema
LEMA acha maneno ya kijambazi jambazi hapa rudi kwenye mtokeo ya wanyeviti wa mitaa Arusha Kupita tena ujipange sana labda uwateke wanaCCM Wote
CCM haipo arusha na kama wapo basi ni viongozi wa chama tu tena na wenyewe huwa wanasema wapo kule kwaajili ya hela ila kura wanampa lema
Kwani Mwakasege ni mchungaji? Labda kama anachunga Mbu.nye ya mam'ko! Hivi naye anajua kutoa rushwa? Maana bila rushwa hawezi kupitishwa na maccm!! Na akipitishwa atachuma aibu!
Safari yamafisadi? Tulia tuwaeleweshe wananchi
Zitto hawa hapa wanafiki wako.
Lema,
Una maana watu wote AR ni Chadema au? What is unit of analysis on what ur saying? What's the ground of saying that? Any evidence to proof that?
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.
Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema
Kwa wale ambao hawaijui arusha, habari ni kwamba tutabakiza majimbo mawili tu, la monduli na longido, the rest to chadema
Mkoa mzima wa Arusha hali za ccm nimbaya sana nitakuja namakala motomoto
Mwanahabari Huru
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.
Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema