AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ni jana ktk M4C iliyofanyika DSM ambayo ilirushwa live na star tv, kuna maneno nilimnukuu kamanda mhe. Godbless Lema akisema " wamenivua ubunge kwa hila na sasa ni mbunge ambaye nipo kwenye honeymoon lakini nawasihi wananchi wangu wa Arusha wasikate tamaa kwani soon mbunge wao nitarudi bungeni lakini hata kama sitarudi mimi bado hata Rais aliyepo ktk mioyo ya watanzania Dr. Slaa atarudi yeye bungeni kuniwakilisha na 2015 ataniachia tena mimi nirudi bungeni tena kuwapigania"
My outlook:
Kwa maelezo hayo ya mhe. Lema je kuna ukweli wowote kwamba Rais wetu Dr.Slaa atarudi bungeni? Na vipi maoni yetu wanabadiliko ktk hili?
My outlook:
Kwa maelezo hayo ya mhe. Lema je kuna ukweli wowote kwamba Rais wetu Dr.Slaa atarudi bungeni? Na vipi maoni yetu wanabadiliko ktk hili?