Lema amwomba Slaa agombee Arusha Mjini

Tukisema chadema ni ya watu wachache watu wanatupinga. Imagine Lema anathubutu kusema anamwachia Slaa sasa, then Slaa amwachie yeye 2015. Inamaana Lema na Slaa tu ndio wenye maamuzi ya nan agombee au asigombee? Hapa kuna demokrasia ya kweli??
 
Arusha hatuhitaji mbunge. Mambo yanenda vizuri sana bila mbunge, barabara zinajengwa na soon tutadeal na wamachinga na usafi.
 
Tukisema chadema ni ya watu wachache watu wanatupinga. Imagine Lema anathubutu kusema anamwachia Slaa sasa, then Slaa amwachie yeye 2015. Inamaana Lema na Slaa tu ndio wenye maamuzi ya nan agombee au asigombee? Hapa kuna demokrasia ya kweli??

Mkuu Rejao,
Huko ni kubaka demokrasia kwa hiyo ndani ya Chadema hakuna chaguzi ndogo za kupitisha wagombea, Mbowe, Slaa, Lema, wanachoamua ndio kauli ya chama.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rejao,
Huko ni kubaka demokrasia kwa hiyo ndani ya Chadema hakuna chaguzi ndogo za kupitisha wagombea, Mbowe, Slaa, Lema, wanachoamua ndio kauli ya chama.

Halafu mtu mwenye akili zake timamu kichwani unakuja hapa kumsifia mtu anaye ua demokrasia.
 
Last edited by a moderator:
No, sishauri Dr Slaa agombee Arusha. anachokifanya sasa ni zaidi ya ubunge.
 
Kama ni hivyo kwa nini wasimsimamishe mwana CDM wa hapo Arusha akachukua uwakilishi hadi waje huku Tegeta kumchukua boyfriend wa Josephine Mushumbusi mamaa ya pesa mingi?

Sijui kama bado unastahili kuitwa mgeni ndani ya JF. Naona kama ni mwaka mzima tangu ujoin. Ukitaj-ka ku-win kampeni yoyote hakikisha kuchagua maneno yanayokupa kuungwa mkono. Siku nyingine hata kama utataka kuwapeleka unakotaka itakuwa rahisi kwa kuelewa historia yako.

Lakini huu mtindo wako! TAngu siku ya kwanza hadi ya mwisho wee ni taabani!



Join Date : 20th June 2011
Posts : 648


Rep Power : 509
Likes Received127
Likes Given45
 
Ni jana ktk M4C iliyofanyika DSM ambayo ilirushwa live na star tv, kuna maneno nilimnukuu kamanda mhe. Godbless Lema akisema " wamenivua ubunge kwa hila na sasa ni mbunge ambaye nipo kwenye honeymoon lakini nawasihi wananchi wangu wa Arusha wasikate tamaa kwani soon mbunge wao nitarudi bungeni lakini hata kama sitarudi mimi bado hata Rais aliyepo ktk mioyo ya watanzania Dr. Slaa atarudi yeye bungeni kuniwakilisha na 2015 ataniachia tena mimi nirudi bungeni tena kuwapigania"

My outlook:
Kwa maelezo hayo ya mhe. Lema je kuna ukweli wowote kwamba Rais wetu Dr.Slaa atarudi bungeni? Na vipi maoni yetu wanabadiliko ktk hili?

Slaa kugombea ubunge sio mbaya. Ubunge ndio saizi yake,ila urais ni oversize. Lema siasa hapana,hafai. Siasa haihitaji mtu katili,mkorofi na mjeuri. Labda mtendaji tena kwenye ngazi ya chini na asiwe kwenye decision making level.
 
Sijui kama bado unastahili kuitwa mgeni ndani ya JF. Naona kama ni mwaka mzima tangu ujoin. Ukitaj-ka ku-win kampeni yoyote hakikisha kuchagua maneno yanayokupa kuungwa mkono. Siku nyingine hata kama utataka kuwapeleka unakotaka itakuwa rahisi kwa kuelewa historia yako.

Lakini huu mtindo wako! TAngu siku ya kwanza hadi ya mwisho wee ni taabani!



Join Date : 20th June 2011
Posts : 648


Rep Power : 509
Likes Received127
Likes Given45

Kwanza, sina lengo la kumshawishi mtu kwa maneno ya kubembeleza its not my thing. Pili ugeni au wenyeji wa mtu hapa haupimwi kwa join date, labda unaongelea ID tu kitu ambacho unajua dhahiri naweza kuwa nazo mpya kila nusu saa.
 
Mkuu Rejao,
Huko ni kubaka demokrasia kwa hiyo ndani ya Chadema hakuna chaguzi ndogo za kupitisha wagombea, Mbowe, Slaa, Lema, wanachoamua ndio kauli ya chama.

Lema hakubaka demokrasia. Ametoa maoni yake kama mdau wa CDM. Rejeao na Ritz msipoteze muda kufuatilia mambo ya CDM. Jengeni CCM yetu
 
Lema ameshaona Urais kwa Slaa ni kumu-oversize, size yake ni ubunge tu..
 
hiyo inapeleka homa kwa CCM CDm walishahakikishiwa na raia kuwa hata jiwe, hata wakiweka "kijana/binti wa kazi wa ndani " kwa mwana cdm au hata mhudumu wa bar yeyote watapewa ushindi.Ila kwa kujihaminisha au hta kuweka credibility wanaweza weka havy weight.Pia mkumbuke Dr huwa na uwezo mkubwa wa kusema kitu sahihi katika mijadala ya Bunge, tofauti na sasa ambapo nahitaji awasiliana na mbunge fulani aseme kitu na pengine ujumbe hautofika kama jinsi angependa ufike.

Il ahii habari ni ya kuwakatisha CCM kwa jimbo.
 
Back
Top Bottom