MFUKUZI
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 933
- 700
Kwa hiyo Lema ndo polisi?
Naomba unijuze... Hivi buku 7-7 huwa unalipwa kwa idadi ya comments, posts au kwa siku?
Samahani nipo serious!!..... na mimi nataka nichangamkie fursa...
Kwa hiyo Lema ndo polisi?
mbunge wa arusha mjini!LEMA ndio nani hata amuokoe mkuu wa wilaya?
hapana, kwa vile ni mbunge!Kwa vile ni jambazi?
Kwa hiyo Lema ndo polisi?
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?
LEMA ndio nani hata amuokoe mkuu wa wilaya?
Kwani nimeuliza Lema ndo nani? Nimeuliza je Lema ndo polisi? Sina haja ya kuuliza Lema ni nani kwa maana najua wazi kuwa licha ya kuwa mbunge , Lema ni jambazi piakwa hiyo hujui lema ni nan!?au unajipa utahira
kwa hiyo hujui lema ni nan!?au unajipa utahira
Tehetehetehe, eti Rais wa Arusha! Labda rais wa Mini Kabaaaaang!
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?
LEMA ndio nani hata amuokoe mkuu wa wilaya?
Wewe ndo -------- wa kutupwa unayempachika Lema majukumu yasiyo yake. Kiini cha tatizo kinajulikana ila mnapenda tu kumpandisha chat jambazi wa ArushaMkuu hebu tumia akili hata kiasi tu....... Tambua Lema ni mbunge, na hakuwa muhusika wa kushughulikia suala hilo, ila DC na RC walipoona hali inazidi kuwa mbaya wakaona wamwite Mbunge Lema aje awasaidie..... na kweli madereva bodaboda wakamtii Lema sasa unawezaje kuongea upumbavu mkuu namna hii?
Tambua kilichotokea leo Arusha ni kama Mgonjwa kazidiwa akiwa Mount Metu Hospital, ikabidi apelekwe KCMC..... Lema ndiyo jibu
Ungemalizia kabisa ni kichwa cha panzi
Halafu mkuu, asubuhi uliwekwa uzi humu ambao ulionesha kuwa wote Lema na DC walikuwa watuhumiwa mbele ya bodaboda hao. Sasa nashangaa mtuhumiwa mmoja anajifanya ni muokoaji
Wewe ndo -------- wa kutupwa unayempachika Lema majukumu yasiyo yake. Kiini cha tatizo kinajulikana ila mnapenda tu kumpandisha chat jambazi wa Arusha
Nenda Arusha utamtambua ni nani.