Lema amuokoa Dc Arusha

Lema amuokoa Dc Arusha

Wewe ndo -------- wa kutupwa unayempachika Lema majukumu yasiyo yake. Kiini cha tatizo kinajulikana ila mnapenda tu kumpandisha chat jambazi wa Arusha

Matusi hayawasaidii......... Lema ndiyo habari ya mjini kama hujui
 
Lema ndio presidaaar wa arusha sio hako kasharobao ka kigoma aka masalia

Acha ushabiki kijana, unapoonywa na wakubwa zako usikie, LEMA anaenda mwaka wa nne sasa toka apewe kiti cha uwakilishi bungeni, hapa Arusha hakuna ahadi yake aliyoahidi hata moja ambayo imetekelezwa, Tumeshuhudia tu fujo, vifo, Mabomu na kila aina ya rabsha, yote haya yakiratibiwa kwa ukaribu na LEMA. wakazi wengi wanasubiri uchaguzi mkuu ili wape reward yake!
 
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?

Baada ya punda wenu kukamatwa kule maccao china naona umechanganyikiwa kabisa akili hakuna.
 
Mkuu hebu tumia akili hata kiasi tu....... Tambua Lema ni mbunge, na hakuwa muhusika wa kushughulikia suala hilo, ila DC na RC walipoona hali inazidi kuwa mbaya wakaona wamwite Mbunge Lema aje awasaidie..... na kweli madereva bodaboda wakamtii Lema sasa unawezaje kuongea upumbavu mkuu namna hii?

Tambua kilichotokea leo Arusha ni kama Mgonjwa kazidiwa akiwa Mount Metu Hospital, ikabidi apelekwe KCMC..... Lema ndiyo jibu

Ndio fikra zako zimeishia hapo?
 
Matusi hayawasaidii......... Lema ndiyo habari ya mjini kama hujui

Kama una fursa ya kukutana naye, muulize zile machinga complex vipi? Niliwahi kumuandikia barua , haijajibiwa, nikimkumbusha kutimiza ahadi zake.
 
Mkuu wa wilaya anaelekezwa Mambo wajiri wake lema kasimama kwenye majukwaa.
 
KAMANDA LEMA ungewaacha tu hukumbuki hao jamaa alivyokuwa wanakusumbua kipindi kileeeeee
 
quote_icon.png
By Mungi
Mkuu hebu tumia akili hata kiasi tu....... Tambua Lema ni mbunge, na hakuwa muhusika wa kushughulikia suala hilo, ila DC na RC walipoona hali inazidi kuwa mbaya wakaona wamwite Mbunge Lema aje awasaidie..... na kweli madereva bodaboda wakamtii Lema sasa unawezaje kuongea upumbavu mkuu namna hii?

Tambua kilichotokea leo Arusha ni kama Mgonjwa kazidiwa akiwa Mount Metu Hospital, ikabidi apelekwe KCMC..... Lema ndiyo jibu
Nikipata ushahidi wa hayo mawasiliano nitawadharau hawa viongozi mpaka mwisho. LEMA hana busara ya kutatua mgogoro wowote ule.
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe,pamoja na mapungufu yake lema anakubalika ile mbaya Arusha
 
Nadhani sasa mtakuwa mnaendelea kujua ni kwa nini Lema ni kipenzi cha viongozi wa chadomo.

Shughuli zake kubwa ndio hizo kwa kipindi chote cha ubunge wake, kuwaambia vijana twendeni, amtafute mwanahabari, atengeneze habari...hapo mwenyewe anajisikia swafiiii...

Hutamsikia amefungua mradi wa maji mahali...hutamsikia ametembelea vikundi vya vijana wajasiriamali aliowahamasisha kujiunga....hutamsikia ameunganisha vijana au kundi lolote kwenye jamii (kama walemavu n.k.) kuwashauri namna ya kujikwamua kiuchumi...

Ndio maana hata nyumbani kwa mdosi (kanjibai) sio rahisi ukakuta wameajiri mtu mwenye akili timamu au mjanja...kupata ajira lazima uwe "Shabani" na ukiwa mjuaji, great thinker (Zitto) basi ni tishio kwa mdosi na lazima atakufukuza...
 
Mimi ni Mzaliwa wa Arusha na ninaishi Arusha, huyo LEMA unayempigia debe huku Arusha hakuna anayetaka kumuona.

Arusha ya wapi unakaa wewe mbwiga wa mbwiguke? Tangulini Nyamisati imekuwa Arusha?
 
Kama una fursa ya kukutana naye, muulize zile machinga complex vipi? Niliwahi kumuandikia barua , haijajibiwa, nikimkumbusha kutimiza ahadi zake.

Machinga Complex za kila wilaya alizoahidi Jeikei?
 
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?

Wewe nawe ni hasara tupu.Hivi kumuokoa Dc nayo ni siasa?.
 
Back
Top Bottom