Yanayoendelea arusha tunayajua,mkuu wamkoa kasema waziwazi alifurahishwa na kupokwa lema ubunge,hazijapita siku bosiwake kasibitisha eti aman ilipotea takriban myaka 2 sasa now imerud,anamaanisha nini?tuko arusha na tunafatilia mambo yanavo kwenda manspaa pesa zetu zinachezewa hakuna madiwan vikao haviendelei,ipo siku mungu atakua upande wetu naamini tulizaliwa arusha kwa matakwa ya mungu nasio ya rais,lema usife moyo tuko nyuma yako ukifa jina lako litabaki na mapambano yataendelea na ukweli utasimama kwenye haki,ninauchungu na ninanmba mungu ajibu kwa wakati.kwani ataendelea kua juu mpaka kiama?makamanda tuko nyuma yakn na tunausoma mchezo sisi tulishakufa sikunyingi bana kwani nini.hivi kwa nini haukuzaliwa unaited of america?mungu anampango nawewe never give up and never sey never