Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ni kujishtukia na upeo mdogo wa Lema.
Hamna narudia tena, hamna sehemu yoyote hotuba ya raisi imemtaja Lema. Who is Lema by then? Kwa sasa Lema ni 0 kwenye siasa za Tanzania. Hata balozi wa nyumba 10 yupo juu yake. Hana mamlaka ya kuijibu au kuizungumzia taasisi ya juu hapa nchini kama alivyofanya.
Hata kama wana yao, au kaona kama kasemwa, naye angemjibu indirectly siyo kuandika straight kama alivyofanya. Hapa nazidi kuona kuwa shule ya Lema bado ipo chini sana.
Rais gani huyu mwenye visasi????? Anafikiri kila mtu ni babu seha!!! Kamtia mwenzake jela ya maisha kisa wivu wa mapenzi tena hawara tu.Rais unatoa kejeli kwa mtu! Huu ni upunguani wa hali ya juu. Najuta jk kuwa rais wangu. Kudos Lema
Huu ni upuuzi... kwani Mh. Rais amezungumzia ni tatizo jimbo kuwa chini ya CDM au amezungumzia utulivu wa mji wa Arusha... why don't you guys read.
unatakiwa upewe elimu ya kujtanbua wewe binafisi hujijui kama ni raia wa nchi hii, ccm wamekufanya mjingaLema kakasirika kuambiwa Arusha sasa ni tulivu?
Huyu Lema ana matatizo ya kisaikolojia, maandiko yake yanabainisha hilo.
Huko ni kujishtukia na upeo mdogo wa Lema.
Hamna narudia tena, hamna sehemu yoyote hotuba ya raisi imemtaja Lema. Who is Lema by then? Kwa sasa Lema ni 0 kwenye siasa za Tanzania. Hata balozi wa nyumba 10 yupo juu yake. Hana mamlaka ya kuijibu au kuizungumzia taasisi ya juu hapa nchini kama alivyofanya.
Hata kama wana yao, au kaona kama kasemwa, naye angemjibu indirectly siyo kuandika straight kama alivyofanya. Hapa nazidi kuona kuwa shule ya Lema bado ipo chini sana.
Naomba msaada wapi Rais ameongelea mtu au hata Taasisi? Wapi?
Maneno yake aliyoyaongea yakimtokea puani mje hapa kuomboleza naye. Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kushadadia huu up uuzi Lema alioufanya.
mimi binafsi lema ni ndugu yangu kwa ufupi tu amezaliwa nronga huko machame na familia yetu ni ya kawaida namfahamu ndugu yangu god huwa hapendi kuonewa na nina uhakika kati ya watu ambao tutakua nao pale uwanja wa taifa 2015 rais kutoka cdm akiapishwa ni LEMA nakukubali sana kaka kaza buti na tupo pamoja OUR GOD IS GREAT
Lema kakasirika kuambiwa Arusha sasa ni tulivu?
Huyu Lema ana matatizo ya kisaikolojia, maandiko yake yanabainisha hilo.
Mimi naona shule ya Rejao iko chini zaidi kwani hawezi kuelewa hata ukweli huu rahisi! Sina hakika na umri wako ila nna wasiwasi kama hutumiwi na hivyo umejengewa nidhamu ya woga kwa watawala! Usiwe mshabiki wa hata upumbavu, hiyo itakutofautisha na wanaodhaniwa hawakusoma!Huko ni kujishtukia na upeo mdogo wa Lema.
Hamna narudia tena, hamna sehemu yoyote hotuba ya raisi imemtaja Lema. Who is Lema by then? Kwa sasa Lema ni 0 kwenye siasa za Tanzania. Hata balozi wa nyumba 10 yupo juu yake. Hana mamlaka ya kuijibu au kuizungumzia taasisi ya juu hapa nchini kama alivyofanya.
Hata kama wana yao, au kaona kama kasemwa, naye angemjibu indirectly siyo kuandika straight kama alivyofanya. Hapa nazidi kuona kuwa shule ya Lema bado ipo chini sana.