Twende kwa hoja... Jackob Zuma was Popular, So do JK, ... Mkapa was un-popular... measure their efficiency and effectiveness.
Wanasiasa waTanzania wanapendwa sio kwa kuleta masuluhisho bali kwa kuwasoma watu wanataka kusikia nini na wanawapatia hicho wanachotaka kusikia... do you recall ahadi za mfuko wa Cement wa TShs. 5000/= or simply US $ 3. Na nyumba zote za watu kuezekwa kwa mabati.
I agree kuna watu walikuwa tofauti... lakini hawakuwa wanachukua credit kipuuzi kama hawa wa kwetu wa sasa... they just echoling what heros have done... na hawakujengeka kwa kusema bali kutenda... Mahtama Gandi, Nelson Mandela... ... NB. Nasoma kitabu chake sasa titled Nelson Mandela an Extra Ordinary Man... by Richard Stengel anasema kilichoifanya South Africa iwe hivyo ilivyo... ni kwa sababu ali-amua ku-reconcile na serikali ya makaburu.....
Mkapa alipata kura 62% alivyoingia ikulu... the next election ilikuwa about 72% not by saying kwa kutenda... hawa wakwetu wametenda nini tuwape hiyo heshima... critizing... there is no easy job like that in this world and good thing is there is no school for that....
Yaani Kasheshe tangu nimeanza kusoma hoja zako katika uzi huu, hususani kwa kile Lema alichomjibu JK, mie mtu wa kawaida (kutokana na bandiko lako moja hapo juu), i find you more paradoxical and puzzling than i thought you were...anyway hii kwa kiasi kikubwa naamini inachangiwa na one's station of life na jinsi gani anafaidikia/kuumia kutokana na mfumo uliopo.
Mr. Kasheshe, unasimama wapi?