Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,253
Akihojiwa na moja ya kituo cha Radio jijini hapa Arusha, kuhusiana na lini atakaporejea nchini,. Mbunge wa zamani Godbless Lema amesema kuwa atarejea nchini tarehe 1/3/2023 na kuwa anategemea mapokezi makubwa kutoka kwa wananchi wake,.
Alipoulizwa kama Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo atakuwepo kwenye mapokezi hayo, Lema amesema kuwa yeye ameaandaa zawadi maalumu kwa ajili ya mbunge huyo,
Na kuwa zawadi hiyo maalumu ni lotion, ameendelea kueleza kuwa anajua kabisa mbunge huyo anapenda sana lotion na tayari ameshaanda zawadi hiyo kwa ajili ya kuja nayo hiyo tarehe 1/3/2023.
Alipoulizwa kama Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo atakuwepo kwenye mapokezi hayo, Lema amesema kuwa yeye ameaandaa zawadi maalumu kwa ajili ya mbunge huyo,
Na kuwa zawadi hiyo maalumu ni lotion, ameendelea kueleza kuwa anajua kabisa mbunge huyo anapenda sana lotion na tayari ameshaanda zawadi hiyo kwa ajili ya kuja nayo hiyo tarehe 1/3/2023.