Viongozi wengi wa Chadema wamevutiwa kwenye siasa na pesa za posho ila wengi wao ni wanafiki na waongo tu. Mtu kama Zitto alishawahi kuhongwa VX na RA lakini anajifanya eti yupo mstari wa mbele kupinga posho za vikao! Huyu Lema naye ana historia ya wizi wa Magari kwahiyo siwezi kumshangaa kama ameamua kuiba na kuchukua posho za vikao za madiwani. Haya ni mambo ambayo niliyatarajia kabisa kwahiyo siwezi kushangaa.
Njaa mbaya, kelele nyingi lakini mgao ukipita wao ndio wa kwanza kutanguliza bakuli. Lema ni jambazi sasa mlitegemea nini kutoka kwake? Kama aliweza kuua watu kwaajili ya pesa sasa unataka aziachie za bila jasho.
Kama hamtambui meya nadhani ni vizuri asingehudhuria vikao, akifukuzwa ubunge poa tu, lakini amesimamia anachokiamini na ambacho chama chake kinaamini. The same goes to CDM MPs.... wasingeitambua serikali ya JK.Anything else is BS.Swala kubwa hapo ni lema kuhudhuria kikao au kulamba posho????!!!!
Viongozi wengi wa Chadema wamevutiwa kwenye siasa na pesa za posho ila wengi wao ni wanafiki na waongo tu. Mtu kama Zitto alishawahi kuhongwa VX na RA lakini anajifanya eti yupo mstari wa mbele kupinga posho za vikao! Huyu Lema naye ana historia ya wizi wa Magari kwahiyo siwezi kumshangaa kama ameamua kuiba na kuchukua posho za vikao za madiwani. Haya ni mambo ambayo niliyatarajia kabisa kwahiyo siwezi kushangaa.
Viongozi wengi wa Chadema wamevutiwa kwenye siasa na pesa za posho ila wengi wao ni wanafiki na waongo tu. Mtu kama Zitto alishawahi kuhongwa VX na RA lakini anajifanya eti yupo mstari wa mbele kupinga posho za vikao! Huyu Lema naye ana historia ya wizi wa Magari kwahiyo siwezi kumshangaa kama ameamua kuiba na kuchukua posho za vikao za madiwani. Haya ni mambo ambayo niliyatarajia kabisa kwahiyo siwezi kushangaa.
Viongozi wengi wa Chadema wamevutiwa kwenye siasa na pesa za posho ila wengi wao ni wanafiki na waongo tu. Mtu kama Zitto alishawahi kuhongwa VX na RA lakini anajifanya eti yupo mstari wa mbele kupinga posho za vikao! Huyu Lema naye ana historia ya wizi wa Magari kwahiyo siwezi kumshangaa kama ameamua kuiba na kuchukua posho za vikao za madiwani. Haya ni mambo ambayo niliyatarajia kabisa kwahiyo siwezi kushangaa.
Njaa mbaya, kelele nyingi lakini mgao ukipita wao ndio wa kwanza kutanguliza bakuli. Lema ni jambazi sasa mlitegemea nini kutoka kwake? Kama aliweza kuua watu kwaajili ya pesa sasa unataka aziachie za bila jasho.
Viongozi wengi wa Chadema wamevutiwa kwenye siasa na pesa za posho ila wengi wao ni wanafiki na waongo tu. Mtu kama Zitto alishawahi kuhongwa VX na RA lakini anajifanya eti yupo mstari wa mbele kupinga posho za vikao! Huyu Lema naye ana historia ya wizi wa Magari kwahiyo siwezi kumshangaa kama ameamua kuiba na kuchukua posho za vikao za madiwani. Haya ni mambo ambayo niliyatarajia kabisa kwahiyo siwezi kushangaa.
Njaa mbaya, kelele nyingi lakini mgao ukipita wao ndio wa kwanza kutanguliza bakuli. Lema ni jambazi sasa mlitegemea nini kutoka kwake? Kama aliweza kuua watu kwaajili ya pesa sasa unataka aziachie za bila jasho.
Swali la msingi la kujiuliza hivi ni haramu diwani kuchukua posho aliyohudhuria kikao? Pia pana logic kusema kuwa hao madiwano wangefukuzwa kama wasingehudhuria kikao hicho maana kingekuwa kikao cha tatu kutohudhuria bila sababu ya msingi!