Kwa makanjanja na wachumia tumbo nyie ndio mtawapata , wale wenye kusimamia neno thubutu hamuwapati n'go , Mungu huwalisha hawasubiri pesa wala chakula kutoka kwenuDawa yake hamna kupeleka sadaka na dhaka ili nao waisome namba watapaza sauti.
Kwa makanjanja na wachumia tumbo nyie ndio mtawapata , wale wenye kusimamia neno thubutu hamuwapati n'go , Mungu huwalisha hawasubiri pesa wala chakula kutoka kwenuDawa yake hamna kupeleka sadaka na dhaka ili nao waisome namba watapaza sauti.
Wao wanafanya kazi ya Mungu , kazi za binadamu wakosoane wenyewe.Viongozi kidini ni wanafiki sana.hawajawa wakomavu wa kukosoa serikali,wanaaminishwa na serikali kwamba 'ukiikosoa serikali unachanganya siaaa na dini'! Hii ni hatari sana katika taifa huru .
Tatizo hawajitambui , halafu wanataka kila mtu afikiri kama wao , mpaka wanataka watumishi wa Mungu waongee lugha yao , hizo ndio dalili za kuishiwa kisiasaTatizo upinzani wanataka wanachoongea wapewe sapot na viongozi wote wa dini
Tatizo unataka nijibu kwa matakwa yako , nami nakujibu ukweli , ya kwamba , wachumia tumbo , wataacha matumbo yao yawasaidie kufanya maamuzi na kazi , na si maamuzi ya kiuungu.Hujanijibu swali langu mbona yule Mswahili walikomaa nae.
Mungu mbariki Lema .
Naona hata wale ndugu zao wanaosota kule lupango wameamua kukaa kimya bila kuwatetea wanasubiri waje wawasomee Hitma. Njaa mbaya sana mkuu.Wale wa Bakwata ndio kwanza wanavuta na Shuka na Kukoroma juu.
Hatuna maana ya kujivika vilipuzi na kwenda kuwakumbatia viongozi,tunachotaka ni angalao wakemee hii dhoruba iliyopo nchini.wakilianzisha
PREMISE 1.
Watanzania wengi wana maisha ya unafiki.
PREMISE 2.
Viongozi wa dini wote ni Watanzania.
CONCLUSION.
Viongozi wengi wa dini ni wanafiki.
Wakumbushe , hawajitambui hao , sifa yao kuu , ni matusiKwani kuna shida gani nchini?
Anafikiri viongozi wa dini ni bavicha.
Wao wana macho kuliko yako , na macho ya roho yanaona kila kitu, mbivu na mbichi.Hatuna maana ya kujivika vilipuzi na kwenda kuwakumbatia viongozi,tunachotaka ni angalao wakemee hii dhoruba iliyopo nchini.
Kwani yeye Lema siyo mtumishi wa Mungu!
Kwahiyo hao uamsho na Shekh Ponda walijivika vilipuzi? Hizi hukumu za kihisia ndio zinazofanya kusiwe na mshikamano.Hatuna maana ya kujivika vilipuzi na kwenda kuwakumbatia viongozi,tunachotaka ni angalao wakemee hii dhoruba iliyopo nchini.
Ndiyo matipii wako kwenye ministry walivyokudanganya?Weye katoe sadaka na ikibidi uza hadi bukta zako.Mnalishwa ukereng'ende huko mabandani kwenu unajidai umekuwa muinjilishaji.Go to hell!Wao wana macho kuliko yako , na macho ya roho yanaona kila kitu, mbivu na mbichi.
Kutetewa walishatetewa sana ila kuna watu walisha conclude kuwa hao ni magaidi hivyo nguvu ya kuwatetea inakuwa ndogo maana inakuwa iko upande mmoja tu ya wale wanaojua ukweli. Ila nafikiri. Lissu naye akishapewa kesi ya uhaini hapa akili ndio zitatukaa sawa.Naona hata wale ndugu zao wanaosota kule lupango wameamua kukaa kimya bila kuwatetea wanasubiri waje wawasomee Hitma. Njaa mbaya sana mkuu.
Una lako wewe, umeona viongozi wa dini ni Bakwata tu? Kwani bakwata walikesha siku tatu kuomba?Wale wa Bakwata ndio kwanza wanavuta na Shuka na Kukoroma juu.