rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,423
- 41,726
Watumishi wa mungu wako kimya sana labda tuusubiri Umoja Wa Wapagani Tanzania huenda wakanena jambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watumishi wa mungu wako kimya sana labda tuusubiri Umoja Wa Wapagani Tanzania huenda wakanena jambo.
Povu unalijua au umekariri neno povu? Kazi za Mungu wewe na Lema mnazijua ? Kama una jambo la kupeleka mbele za mungu kupitia watumishi wake muende kwa adabu ,Mungu ni mkuu na ni waheshima sana , njia zake si zakibinaadam wala za face book.Povu la nini, kilichoulizwa ni Mbona viongozi wa kiroho wamekaa kimya wakati wa dhoruba inayoendelea?!
Mbona walikomaa na yule mswahili?!...kabla ya dhoruba kutukuta.Povu unalijua au umekariri neno povu? Kazi za Mungu wewe na Lema mnazijua ? Kama una jambo la kupeleka mbele za mungu kupitia watumishi wake muende kwa adabu ,Mungu ni mkuu na ni waheshima sana , njia zake si zakibinaadam wala za face book.
Dini yeyote yenye kumjua Mungu vizuri na kufuata maneno yake , hawafanyi kazi kwa mashinikizo ya kibinaadamu , labda wale mliowapata kipindi kilee , wachumia tumbo.Au wameambiana mbona hadi Wasabato nao wamekula pini.
Hao labda kina show wachumia tumbo ndio anakomaa na binadam.Mbona walikomaa na yule mswahili?!...kabla ya dhoruba kutukuta.
Hujanijibu swali langu mbona yule Mswahili walikomaa nae.Hao labda kina show wachumia tumbo ndio anakomaa na binadam.
Mungu ndiyo huweka mamlaka ya watu majahili,watekaji,wauaji,watesi,wenye kidhulumu,mafisadi,vichwa ngumu na wahuni?Utapata laana.Uwe unatafakari kabla ya kumdhalilisha MUNGU.Lema na kikundi chake waache kutengeneza matatizo ili wapate huruma ya jamii na viongozi wa dini.
Kwani kuna kiongozi wa dini alimtuma mtu adharau masharti ya dhamana ya mahakama??.
Jifunzeni kuheshimu utu na mamlaka ya serikali za wanadamu zilizowekwa kwa kibali cha Mungu unaemlilia Lema.
Tatizo upinzani wanataka wanachoongea wapewe sapot na viongozi wote wa diniAnafikiri kazi za Mungu ni kama za kisiasa za kupiga pyepyepye
Unajidai kuandika utadhani huwa unakunywaga juisi na malaika.Punguza unafiki.Povu unalijua au umekariri neno povu? Kazi za Mungu wewe na Lema mnazijua ? Kama una jambo la kupeleka mbele za mungu kupitia watumishi wake muende kwa adabu ,Mungu ni mkuu na ni waheshima sana , njia zake si zakibinaadam wala za face book.
Tutakapofikia kuchoka kuvumilia na kuishinda dhambi ya woga watanzania wanyonge hawa watakuwa wakali ajabu. Hakuna askari au silaha zitakazotosha kuwatuliza. Time will tell!Watanzania bado hatujanyooshwa vya kutosha, ila tukishonyooshwa inavyotakiwa, kila mtu atapaza sauti.
Maombi ya kuombea nchi yanafanyika kila siku, ajaribu kuhudhuria makanisani ili atambue hakuna ukimya
Kwani nae si kiongozi wa kidini mpaka alikuwa anatutolea upako na maono? yeye anatoka hao wengine wenye akili timamu wakiona shida watasema asiwachagulie cha kuongea.
Hapa kuna ukweli umenenaWatanzania bado hatujanyooshwa vya kutosha, ila tukishonyooshwa inavyotakiwa, kila mtu atapaza sauti.
Lazima wasimame wahesabiwe wapo upande wa haki au dhulma.Rwanda baadhi yao walisimama upande wa dhulma na kuruhusu Genocide.Je hapa napo ndo hivyo?Wajitokeze hadharani tuwajue.Anafikiri kazi za Mungu ni kama za kisiasa za kupiga pyepyepye
Na kwa upande wa katoriki ndo kwanza matembezi ikulu,swala ya kuikosoa serikali hawana habari.Wale wa Bakwata ndio kwanza wanavuta na Shuka na Kukoroma juu.
Acha unafiki, wakilianzisha mnasema wachochezi, na serikali ikiwaita magaidi nanyi mnaunga mkono 100%. Kesi ya uamsho mwaka wa ngapi huu? ACHA DAWA ITUINGIE WOTE KWA SASA. SHEKH PONDA KAKAA GEREZANI ZAIDI YA HUYO MBOWE MBONA HATUKUSIKIA AKIWAITA WANASIASA.Wale wa Bakwata ndio kwanza wanavuta na Shuka na Kukoroma juu.
Dawa yake hamna kupeleka sadaka na dhaka ili nao waisome namba watapaza sauti.
Mungu hakaguliwi na binadamu , ndio maana umwagaji damu ulitokeaLazima wasimame wahesabiwe wapo upande wa haki au dhulma.Rwanda baadhi yao walisimama upande wa dhulma na kuruhusu Genocide.Je hapa napo ndo hivyo?Wajitokeze hadharani tuwajue.