Lema aanika meseji ya Ben Saanane

Lema aanika meseji ya Ben Saanane

Naona Lema anahekima sana ila hajui anachokipigania ndio tatizo. Natamani kama nchi ingekuwa na chama cha wanaharakati wa ukweli kama hawa wakitetea maslahi ya umma badala ya kale ka saccos ka mtu na baba mkwe wake. Inaumiza sana kwa kikundi cha familia furani kutumia mpaka damu za watanzania eti leo lema yuko radhi kumwaga damu yake kwa faida ya ka saccoss kweli CHADEMA mmerogwa na aliye waroga anawageuza kama anavyotaka
Ningekushangaa kama ungeipendelea Chadema na Lema katika mchango wako japo wahehe wenzio umewaabisha.... Hiyo profile, huyo uliyemweka alikuwa mpambanaji mno... Umemwangusha.mwondoe hapo umetia aibu kbs
 
QUIGLEYmiguu imekomaa sasit: 21025279 said:
Hakika Lema amekomaa sasa
Eee,kweli,hasa miguu ime komaa sana,,
ni vyema aende tena kisongo akakomazwe na akili.
naona bado akili haija mkaa vizuri huyu,
Analeta mambo ya ndoto bado.
 
huyu bwana huwa ni wa hovyo, anatete hadi upuuz mpaka unabaki unashangaa ana akili ya namna gani?
Ndo shida ya Kuwa WAZIRI.
Si unamuona Nape amezinduka sasa hivi
Screenshot_20170507-203129.png
 
. Simbachawene wewe una historia. Ulikuwa kondakta Mungu amekuweka mpaka umekuwa hapo, tulitarajia kukuona wewe unapigania nchi hii.

“Leo unaishi utafikiri umezaliwa katika familia ya Warren Bafet. Mtu akisimama kuongea ukweli unapinga.
 
Hayo ndio matatizo ya wapiga kura wa arusha mjini waliyomtuma akaongee bungeni?
Mara mojamoja jaribu hata kumuomba mwamna kama yupo akupe ushauri wa nini cha kuchangia maana naona kwa akili yako haiwezekani kabisa kiwa na mawazo positive kwa taifa na ukautoa ukada nanchuki.

Maana alicho kionge lema hapo kina mgusa hata yule asiye na chama ila kilicho nigusa zaid katika maelezo yake ni pale alipo sema msifikiri mnafanya haya kutukomoa sisi mna watoto na mna wajukuu na wanakua, nadhan wana CCM wengi mna tatizo la kuto fikiria future yenu na ya taifa kwa ujumla wake. Mnawazia ya hapo hapo mlipo kwa wakati huo na si ya kesho. Kama ambavyo leo mmeanza kujutia ujinga mlio ufanya kwenye katiba ya warioba .
 
huyu bwana huwa ni wa hovyo, anatete hadi upuuz mpaka unabaki unashangaa ana akili ya namna gani?
Uhovyo wake uko wapi? Maana kuna watu hamnaga akili nadhani unafiki umetawala mioyo yenu
 
Amakweli jela ni correctional facility,ingekuwa zamani kila paragraph ingeambatana na tusi!
 
Hebu aliyeelewa hii sentensi aifafanue
"Uhuru wa Habari Ni alternative (mbadala) wa Amani"
 
Kwa Mara ya kwanza nimekubaliana na lema.
 
Kama taifa lingekua na watu kama hawa wengi hakika tungekua salama sana tatizo wengi ni wapenda pesa sio haki
 
Back
Top Bottom