Lema aanika meseji ya Ben Saanane

Lema aanika meseji ya Ben Saanane

Wakati Mhe.Lema akiongea hayo,reaction ilikuwaje kwa wabunge wenzake (wote bila kujali vyama)?Maana Juzi wakati Mhe.akiongelea so called "Bashite"nilisikia kwenye Audio kelele nyingi kwenye Background zikimpa support na hata alipoamka Mhe.Simbachawene kuomba mwongozo 'alizomewa'
 
They'll never listen but it's good to tell their evils so that others may know! The doomed days are around their throne! Ruling with an iron fist will only lead one demise of an emperor!
 
Ukweli una tabia ya Ku irritate kama kidonda,ndiyo maana unapoandika ukweli majibu ya ukweli huo huwa ni matusi,hoja hujibiwa kwa hoja si matusi,ukijibu hoja kwa tusi lazima tuhakiki cheti cha akili yako kikoje,huenda kina mtindio wa ubongo ndiyo maana ukiambiwa leta sigara unaleta maji
 
Back
Top Bottom