UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,733
Shule ya maticha wa hivi sipeleki mwanangu ng'ooooo!
Kipindi kile nimemaliza six kuna jamaa nilikuwa nikifundisha nao temporary katika shule moja walikuwa wanagawana cha-Arusha na baadhi ya wanafunzi.
kamua ticha,elimu ni biashara tutasomaje? na log off
hahahahaha umeona eh! Nalog offfashion zingine tabu kabisa. badala ya kuvalisha makalio, watu wanavalisha miguu
mitungi ii ,blunt ......... puff & pass.Nalog offKipindi kile nimemaliza six kuna jamaa nilikuwa nikifundisha nao temporary katika shule moja walikuwa wanagawana cha-Arusha na baadhi ya wanafunzi.
View attachment 40496
mwalimu ni mwana kinoma yani hadi raha mpaka chichogoni.......walimi kama hawa mm nawamind kinoma yani mana hachapi waala nn na akikuita utasiki oyoooooo jibu swali kama vipi usinizingue