Tulikuwa na Lecturer wetu yaani kufundisha ni bora liende tu.Course work zinachechemea, wametoa rushwa TAKUKURU chunguzeni ili.
Hebu tupe jina lake na departmentHuyu mwalimu watu wanaohusika mimi nashauri wamwangalie kwa jicho la kipekee pengine anaweza akaja akatufaa sana kama kiongozi wa ngazi za juu ndani ya nchi yetu, huko mbele ya safari. Watoto wa rika hili huwa siyo rahisi sana wakampenda mtu kwa bahati mbaya tu; huyu mtu lazima atakuwa ana qualities za kipekee sana ambazo watu tulio wengi hatuna. Mungu ambariki sana mwalimu huyu
Unaugua weweChadema wanapinga Tanzania ya viwanda
How do you happen to guess I know him? Wewe unanijua mimi? Yupo hapo kwenye video mtafute utampataHebu tupe jina lake na department
Nataka nimfahamu ilie chagua aina hiyo ya zawadi ni Me au Ke??Katika kuendeleza dhima ya Uchumi wa viwanda wanafunzi wamemzawadia lecturer wao viatu na shati . Kazi ndo imeanza.
**Wakihojiwa wanaonyesha kufurahia tendo hilo.
Ndicho walicholenga. Mambo yakiwa magumu unatafuta kilainishiDunia inaenda Kasi. Vijana Wana uhakika wa kufaulu hapo
Bila shakaTutegemee A za kutosha.
Lekchara hakutumia akili. Dress code Yake tu inakuonyesha ni mtu wa aina ganiKatika kuendeleza dhima ya Uchumi wa viwanda wanafunzi wamemzawadia lecturer wao viatu na shati . Kazi ndo imeanza.
**Wakihojiwa wanaonyesha kufurahia tendo hilo.
Wazazi tunalipa ada mtoto apate elimu Bora kumbe hela ananunuliwa Mwalimu zawadi
Kwakweli, ukizingatia Chuo Kikuu, mwalimu ndiyo kila kitu.Course work zinachechemea, wametoa rushwa TAKUKURU chunguzeni ili.