mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
JPM hakuwa akipangiwa
sasa mobimba ni nani mpaka akate cheo cha mtu asiyepangiwa!!!!maana kwa maelezo yako hii ilikuwa ni amri.
au wenzetu akili zinaingia na kutoka!!!!
JPM hakuwa akipangiwa
umemanisha kaka alitumwa kuhalalisha ule uchuroAdui wa adui yako ni rafiki yako RIP dr.Mwele
Do not trust himYote hayo amefafanua
Jamaa ni geniouz arifikia mbal sana kama hiyo taarifa sioWilliam Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.
Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .
Chanzo : Global Tv online .
Toa maoni yako .
Hivi inawezekana Le Mutuz apewe kazi aikatae kweli? Aikataeje? Le Mutuz huyu chawa wa Makonda au mwingine? Acheni kututapeli jamani.William Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.
Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .
Chanzo : Global Tv online .
Toa maoni yako .
Ha ha ha,kama ulivyoahidiJamaa ni geniouz arifikia mbal sana kama hiyo taarifa sio View attachment 2415736
Hahaha! Eti linadai eti hadi FBI walilipa kazi likakataa? Jamaa liongo kweli.William Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.
Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .
Chanzo : Global Tv online .
Toa maoni yako .
BOMA YEEWilliam Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.
Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .
Chanzo : Global Tv online .
Toa maoni yako .
Kulikuwa na koneksheni za helaKwa hiyo unataka Watanzania tuaeme nini
sasa mobimba ni nani mpaka akate cheo cha mtu asiyepangiwa!!!!maana kwa maelezo yako hii ilikuwa ni amri.
au wenzetu akili zinaingia na kutoka!!!!
Jamaa yako anaona mada za siasa hamchangii so kaamua kuleta hizi ambazo anajua wengi mnapenda udaku!.Wananchi wana matatizo mengi yanayohitaji kutatuliwa, kama wawakilishi wa CHADEMA mnaojiandaa kurudisha majimbo 2025. Jitahidi kujikita kwenye mambo ya msingi yanayohusu jamii. Haya maujinga ya Le Mutuz waachie ACT na CHAUMA. Yanawapunguzia CREDIT.
Jamaa muongo tu huyo!Hivi inawezekana Le Mutuz apewe kazi aikatae kweli? Aikataeje? Le Mutuz huyu chawa wa Makonda au mwingine? Acheni kututapeli jamani.
Hapo Sasa, lemutuz huyu ambae ana Bajaj imechoka kwa siku anachukua hesabu 15k na huwa anaipeleka gereji mwenyewe. Leo akatae cheo chochote?? MaajabuHivi inawezekana Le Mutuz apewe kazi aikatae kweli? Aikataeje? Le Mutuz huyu chawa wa Makonda au mwingine? Acheni kututapeli jamani.
"Kama alivofundishwa na wamarekani" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]William Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.
Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .
Chanzo : Global Tv online .
Toa maoni yako .