Le Mutuz: Magufuli alitaka kunipa uongozi lakini nilikataa

Le Mutuz: Magufuli alitaka kunipa uongozi lakini nilikataa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,449
Reaction score
283,755
William Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.

Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .

Chanzo : Global Tv online .

Toa maoni yako .
 
Wananchi wana matatizo mengi yanayohitaji kutatuliwa, kama wawakilishi wa CHADEMA mnaojiandaa kurudisha majimbo 2025. Jitahidi kujikita kwenye mambo ya msingi yanayohusu jamii. Haya maujinga ya Le Mutuz waachie ACT na CHAUMA. Yanawapunguzia CREDIT.
 
Watu wataanza kumbeza Le Mutuz lakini watasahau kutafakari maneno haya...

...na kuambiwa achague cheo anachotaka,

Huyu ni Le Mutuz kakataa cheo cha kupewa, je ni wangapi ambao vichwa moto na wamepewa vyeo ambavyo sasa wanavitumikia pasipo wito wowote...

Ndio maana ndege inaanguka na hakuna kiongozi anayeongelea uwepo wa unit ya uokozi zaidi ya kumtembeza Majaliwa kila kona...
 
William Malecela ama Le Mutuz Nation , Super Brand , Nye Nye Nye , kama anavyofahamika mitaani , Amefunguka kwamba Aliwahi kuitwa na Rais wa zamani wa Tanzania , Dr Magufuli na kuambiwa achague cheo anachotaka , lakini alikataa.

Le Mutuz amedai kwamba Magufuli alikuwa Rafiki yake na walikuwa wanaongea mara kwa mara , anadai alimwambia Magufuli badala ya kumpa cheo , ampatie Koneksheni ya hela tu ili aendelee kuishi vile anavyotaka , kama alivyofundishwa na Wamarekani .

Chanzo : Global Tv online .

Toa maoni yako .

13 November 2022
Dar es Salaam, Tanzania


🔴#Live: LEMUTUZ AANIKA SABABU KUTOTEMBELA KABURI LA MAGUFULI, URAFIKI NA MAKONDA, WANAWAKE | MAPITO KWENYE kipindi cha MAPITO cha GLOBAL TV wiki hii tumefanya mahojiano maalum na Lemutuz aliyejizolea umaarufu kutokana na mitandao ya kijamii ... safari ya India kwa kupitia ufadhili wa Rais Magufuli na mengineyo kemukemu tusiyoyajua ...



Source : Global TV online
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom