sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,016
Mjibu basi mtoto, kakuambia umemblock Insta, unapata taabu sana- Salute Boss, guys ukiona sijakujibu ujue ni below my level, thanks!
le Mutuz
Mjibu basi mtoto, kakuambia umemblock Insta, unapata taabu sana- Salute Boss, guys ukiona sijakujibu ujue ni below my level, thanks!
le Mutuz
Akijibu unistue niko mitaa ya ngabomoa nakunywa mbegeMjibu basi mtoto, kakuambia umemblock Insta, unapata taabu sana
Mtoto kakosa adabu yule sio mchezo.anamuambia baba yake amsuck dick kweli.tena anamuita mavi?Simpendi Le mutuz!
kabisa!
ILA SIJFURAHISHWA POPOTE NA MATUSI ALIYOTUKANWA NA MWANAE!
no!hapana!
sio sawa!
Huenda ndiyo kimekifanya kiwe kiduchu, dunia hiiMtoto kakosa adabu yule sio mchezo.anamuambia baba yake amsuck dick kweli.tena anamuita mavi?
Hapa mama mtu anahusika-haiwezekani mtoto afike this stage-I have never seen this-unless this boy is a drug addictMtoto kakosa adabu yule sio mchezo.anamuambia baba yake amsuck dick kweli.tena anamuita mavi?
True hustler 👏 big up brother.Ila baada ya yote hayo hukustahili kuwa kibaraka wa mchoma mkaa wa Mbezi Luis Bashite- Ok nilikua natoka Shuleni Saa Nne za usiiku, ninaenda kazi yangu ya USiku kwenye Jumba la Cinema la Co-op City/Bronx ninaingia kazini Saa Tano usiku, nikifika ninalala mpaka Movie ziishe katika ya Saa Saba, ninasafisha Ukumbi kwa lisaa Limoja au Mawili depending na uzuri wa Movie cause kuna siku ukumbi unakua msafi kwa kukosa waangaliaji wengi, Ninalala Kuanzia Saa Tisa naamka Saa Kumi na Moja na Nusu naingia kazini kuendesha Malori,
- Ninatoka kazini Saa Tisa mchana ninarudi nyumbani kulalaa, Saa Kumi na Mbili Jioni naingia Shuleni mpaka Saa Nne, hiyo ndio iliyokua routine ya maisha yangu kwa Miaka karibu 8, ndio maana mpaka leo siwezi kulala zaidi ya masaa 4 na ninaweza kulala mahali popote pale bila tatizo na saa yoyote ile, kwenye my story nimeandika niliyoyapitia tu so ni vigumu sana kwako kutafuta makosa cause hayapo ni maisha niliyoyaishi.
- Ningekua nimeandika uongo popote pale ungewaona Diaspora nilioishi nao USA wangeshajitokeza hapa au my ex, umeona kajaribu jaribu kakimbia!
Thanks.
le Mutuz
Ndo nini hii tufungue mkuuHii issue ya AGAPEO mbona naona imezimwa kila sehemu kuanzia JF hadi kwa Mange post zimefutwa kama ZOTE.
Hahahaha vya kurithi ni vikali kinoma na huwa vinazidiLabda mida hii ila 3 hours ago nilim DM .kamkosea sana le baharia, ila nadhani mama yake naye ka play role ya kuweka chuki kwa watoto
Baharia anahitaji matibabu tu
By the way hata mwanae anapenda wabebezView attachment 871631
Aisee walisema kuishi kwingi ni kuona kwingi. Yale matusi kumtukana baba mzazi ni kikomo cha uvumilivu. Lakini bado huwa nasisitiza. Internet ni sehemu inayoweza kumharibu mtu akabakia kama jivu isipotumiwa kwa uangalifu. Dogo anaonekana amekulia yale mazingira ya ki-black american 100%.Hii issue ya AGAPEO mbona naona imezimwa kila sehemu kuanzia JF hadi kwa Mange post zimefutwa kama ZOTE.
Nimejifunza kitu kuna jmaa yangu alikaa huko kwa trump yapata 10 yrs alikua anabukua!! sasa akawa ananipa story kuhusu blacks na tabia zao!! japo alikua anapata mazali ya bebez za kizungu kumpenda na nini!! nikamwambia jilipue kwa totoz moja ya kizungu..Lakini mwisho wa siku akaja kuoa zake tanzania!! na yupo zake huku.
Anasema Marekani atakua anaenda kutembea na sio kupiga job anasema na kodi ipo juu sana na pia alikua anamis sana vyakula vya asili huku, mbuzi choma, e.t.c !! anasema kama atafanya kazi ataenda nchi zingine.
Kumbe states Noma!! brazaa lemutuz hongera sana Umepigana sana na life ya kule!!
Big up brother !!- Sasa tumeuza vitabu 900 wanasema ni record, na tunaendelea soon nategemea kwenda nje kuviuza zaidi.
le Mutuz Superbrand
Big up brother !!
You are humbled you know ha ha ha ha ha.- Sasa tumeuza vitabu 900 wanasema ni record, na tunaendelea soon nategemea kwenda nje kuviuza zaidi.
le Mutuz Superbrand
Mkuu siku ukikutana na hawa mablack hutawaelewa hata kidogoI'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.