xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
Wanakujua ni one stupid big liar with a pinky finger sized dic.k so no muda wa kupoteza kwako- Ok nilikua natoka Shuleni Saa Nne za usiiku, ninaenda kazi yangu ya USiku kwenye Jumba la Cinema la Co-op City/Bronx ninaingia kazini Saa Tano usiku, nikifika ninalala mpaka Movie ziishe katika ya Saa Saba, ninasafisha Ukumbi kwa lisaa Limoja au Mawili depending na uzuri wa Movie cause kuna siku ukumbi unakua msafi kwa kukosa waangaliaji wengi, Ninalala Kuanzia Saa Tisa naamka Saa Kumi na Moja na Nusu naingia kazini kuendesha Malori,
- Ninatoka kazini Saa Tisa mchana ninarudi nyumbani kulalaa, Saa Kumi na Mbili Jioni naingia Shuleni mpaka Saa Nne, hiyo ndio iliyokua routine ya maisha yangu kwa Miaka karibu 8, ndio maana mpaka leo siwezi kulala zaidi ya masaa 4 na ninaweza kulala mahali popote pale bila tatizo na saa yoyote ile, kwenye my story nimeandika niliyoyapitia tu so ni vigumu sana kwako kutafuta makosa cause hayapo ni maisha niliyoyaishi.
- Ningekua nimeandika uongo popote pale ungewaona Diaspora nilioishi nao USA wangeshajitokeza hapa au my ex, umeona kajaribu jaribu kakimbia!
Thanks.
le Mutuz