Duh, huwezi jua ndugu yangu, usikute labda hiyo ndo staili yake pendwa ya upigaji picha manake naona kama staili zote zinafanana! Nadhani ataingia tu hapa kutoa ufafanuzi kwa ile staili yake ya kuchanganya lugha tofauti tofauti kwenye andishi moja.
DAH HILI ZEE hivi lilikuwa wapi enzi za ujana wake mbona linatia aibu sana CCM na SERILKALI yake. yaan linabebwa lakini halibebeki! tunajua CCM ni mbovu lakini huu ubovu mwingine unachangiwa na wasaidizi wake kama hawa. yani nasikia kichefuchefu kutokana na tabia za huyu mkora.Kweli wakuja ni wakuja tu!
Kweli wakuja ni wakuja tu!
kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.
Willie!!
Ndo upige pige picha hovyo na dada za watu ? anyway, labda nyie mila zenu zinaruhusu, sie katu katu !
kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.
Willie!!
kwenye kujichanganya na wananchi huwa sichagui wala sibagui wananchi kwa sababu ya uwezo wao au gender zao, wenye hayo matatizo kwenye hii jamii ya kuwadharau wanawake poleni sana nilipokuwa nje nimefundishwa kwamba binadam wote ni sawa tu na wote ni muhimu sana kwa taifa, kuwaongoza ni lazima uwe samba mba nao, naona wengi wenu mnaamini wanaume tu ndio watu wanawake sio watu, so tuna kazi kubwa sana kurekebisha hili taifa watu wawe na the right mind za kisasa zinazokubalika na Dunia nzima.
Willie!!
...umeamua kutoa picha yako uliyokuwa umeifadhi ili uje uitoe kama kashifa juu ya Zitto pale atakapo chukua nafasi muhimu ktk nchi hii hapo 2015.
atahivyo huyo demu ni kama alimvamia Zitto ili naye anaonekane akicheza mziki na mtu mzito na inawezekana we ndo ulisakizia demu afanye hivyo ili nia yako itimie..