King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 63,160
- 95,906
Ila kwa fujo ni noma kweli,wote triple c na g-unit walikuwa kwenye show moja,sasa wanavyotoka jamaa akawaacha mabaunsa wa kundi lake akaenda kuwazingua G-unit,50 cent ndo alinchukulia cheni,video ipo hata YouTube ila jamaa ni bangi mno
Bangi zinampelekesha,siku zake zinahesabika soon atafumuliwa ubongo.