Le mutuz atoa mbinu Jinsi ya kuwanasa mabebez

Le mutuz atoa mbinu Jinsi ya kuwanasa mabebez

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
958
Yule super Gademu,mburulaz ametoa hint kwa vijana wenzake jinsi ya kuwanasa le mitindizzz

1.Car
Hii inakamata nambari Moja, sababu inaact kama catalyst, inaspeed up other attachments to comply with ur intentions to that beautiful chick you want to hold on onto your life.

2.cash
hahah ah, Hapa ndo Main point hapa, Mapenzi bila hela sikuhizi ni sawa na Gari bila Matairi....Haya endi, Tusibishane katka hili, hta kama Demu wako hapendi pesa kiasi gani but lazima uwe namoney za kuhandle petty expenses... la sivyo unaumbuka mjini... hata hilo gari hapo juu halitakua na maanakama Cash iz a problem.

3.Clothes
Hahahahah hapa Bro naongelea Muonekano wako binafsi, ebu acha kupiga suluari zako za malinda sita zile na raba kama wakimbia marathon, Watoto wazuri bwana wanataka Gentlemen haswaa...mzee wa kutokelezea, hata kama huna pamba kali basi ulizonazo wazipangiliaje.... hapa nadhani wadau waukweli watajua nazungumzia vitu kama Hermes,
Pierre Cardin, Luis Vuitton, Tom Clanks, na chata ka hizo.... sio unatupia singlendi ya buku sh tano na hupigi bafu SAHAU MTOTO MZURI.

4.Communication
hAHAHA hApa sasa pana Tatizo bana.... unajua Communication nayoizungumzia hapa ni aina mbili..... Verbal communication na Physical Accessories Communication (communication device)..., Watoto Wazuri wa mjiniwanapenda
Kiingereza asikwambie mtu.... wanamiksi yaani... kiswahili kidooogo then Ngeli kwa saana..... yabidi ujipange aisee... hizi like uuuuh....mnh uknow... i kinda...uuuh... uwe vizuri mzeee la sivo utaishia kupata watoto wa tandale kwa Tumbo.... hiyo ya pili nazungumzia device sasa, Hapo jiulize unasimu ama unachombo cha mawasiliano? siku hizi wajanja tuna Apple, Samsung Galaxy, Htc, Huawei na vitu adimuka hizo...sasa we komaa na simu zako za tochi utajuta...mtot anataka akuone mainsta nini sana.

5.Confidence
Hapa watoto wengi wakishua wanapata shida......Confidence ni ability ya kuexpress ur feelings towards a girl looking at her eyes.... sasa kuna wajomba wanaona aibu mpka wanaume wenzao....sasa mtiti unakuja anapomit na mtoto mzuri hahahah,,.... kila kitu hapo juu anacho bt amelack confidence...Kalagha bao....

6.Chance
Chance bana ni ile unakua na mchizi wako ana demu mzuri... afu huyo demu anarafiki ake mzuriii pia...aaaaaah hapo c kamakumpa Christiano ronaldo na Laiton baines free kick..... it also sometimes mean the chances you have in your life
interms of eduction, employment e.tc......( 6C's)

# mengineOngezea
WIKEND NJEEEMAAA


 
dah, badala ya kuleta mbinu za kupata hela analeta hii.
 
Triple C's you know it's back we holdin' sacks so nigga go on rat, run and tell 'em that mo' cars, mo' hoes, mo' clothes, mo blows.
TRIPLE-C.jpg
 
Hizo nyingine mbwembwe tu! Pesa ndo kila kitu jamani, Kwani Mengi huua anatupia? Lakini mbona kamnasa mtoto mkareee K Lynn
 
Huyu Ndo mwakilishi jumuiya ya wazazi najuta kumpigia kura yangu

Aaahhah aahah.

Sasa huyu ndo mzazi wa ukweli sasa.....anawapa vijana wetu mbinu za vita.....

Daaah kweli CCM hii yaleo imevaa chupi kichwani...

Wazazi ndo wakina Lemutuz,vijana ndio hao wakina Makonda.....!

Just "imajini" vijana wa UVCCM (kama Makonda anayepiga wazee wake) analelewa na mzazi type ya Lemutuz (mwenye akiri kama hizi)
———★——★———★—–——

Kweli chama pendwa kimevaa chupi juu ya suruali
 
Mganga hajigangi...na atapiga sana puli mwaka huu!!

Uknw nimekaa marekani miaka 25 hivyo wababiz wakarez najua jinsi ya kuwapata!
Uknw sikuhizi hata siwatongozi wananipigia simu na kunieleza shida zao uknw wananipenda hadi naunwa!

Watu wengi wananionea wivu masupergadem mbuluraz hawanipendi. .
hahahhaha I love it
 
MBONA YEYE Hana hata moja hapo kwenye hzo 6C'S..? Kuvaa yale ma nyanya pensi yake ziro ..2..Cash ni upambe tu kwa mararafiki zake ma bilionea fake ziro nyingine..3..car kile kisukuma mwendo chake wenzake kina davis mosha sijui watasemje ziro nyingine ..4...Confidence ziro ndio maana anaonge pumba 24/7 ...Nyingine malizieni wakuu
 
Triple C's you know it's back we holdin' sacks so nigga go on rat, run and tell 'em that mo' cars, mo' hoes, mo' clothes, mo blows.
TRIPLE-C.jpg
huyo gunplay jamaa wa kulia ni bangi balaa anafujo kishenzi,akakutana na crew ya g-unit walimzingua na kumnyang'anya cheni
 
Uknw nimekaa marekani miaka 25 hivyo wababiz wakarez najua jinsi ya kuwapata!
Uknw sikuhizi hata siwatongozi wananipia simu na kunieleza shida zao uknw wananipenda hadi naunwa!

Watu wengi wananionea wivu masupergadem mbuluraz hawanipendi. .
hahahhaha I love it

HAHAhahahahaha... I love it
 
huyo gunplay jamaa wa kulia ni bangi balaa anafujo kishenzi,akakutana na crew ya g-unit walimzingua na kumnyang'anya cheni

Haaaa wamemuweza,Jamaa kwa fujo namfananisha na Late Proof wa D12.
 
Uknw nimekaa marekani miaka 25 hivyo wababiz wakarez najua jinsi ya kuwapata!
Uknw sikuhizi hata siwatongozi wananipia simu na kunieleza shida zao uknw wananipenda hadi naunwa!

Watu wengi wananionea wivu masupergadem mbuluraz hawanipendi. .
hahahhaha I love it

choice+1.jpg


Appreciated that and I keep my fingers x for ya! U know.
 
Haaaa wamemuweza,Jamaa kwa fujo namfananisha na Late Proof wa D12.

Ila kwa fujo ni noma kweli,wote triple c na g-unit walikuwa kwenye show moja,sasa wanavyotoka jamaa akawaacha mabaunsa wa kundi lake akaenda kuwazingua G-unit,50 cent ndo alinchukulia cheni,video ipo hata YouTube ila jamaa ni bangi mno
 
Back
Top Bottom