We utakuwa umezowea ugomvi au ni kati ya wale wanawake tunaowata MAJIKE DUME......... mnyonge kwenye amani..???!!!Hahahaaaaaa! Mi sio mkorofi ila sio mnyonge au nyonde nyonde!!!!!!!!! Tunaenda kwa haki na usawa tukiongozwa na Logic na grounds za msingi!!!!!!!
Ukinifanyia upuuzi you will see my true colours! My strength is in War na my weakness is in Peace!!!!!!!!! Ukinifanyia wema uliopitiliza unanikosehsa amani sanaaa, nakuwa najistukia sana, najiona mdogooo!
na wewe kibendera fuata upepo kaa kimya.Kuna keng.. humu Jf mnajiona mpo juu sana.Pambav..
Rudia kusoma ukishaelewa ndo uongee.Mbona wenzio wamechangia? Na wewe kama hauna cha kukomenti kaa kimya.hebu kuwa mstaarabu kidogo. Kwa nini unatukana wenzako. Ukweli ni lazima usemwe. Rudia kusoma ulichoandika pale juu, halafu ujiulize ulikuwa na maana gani. Kama huna cha kuandika nyamaza kimya. Soma michango ya wenzako iliyoenda shule.
ahahahaha..kaukweli kwa mbaaaaaaliNilitaka nisiongee lakini wacha niseme.
"
Kawaida mtu anaeongea sana hawezi kutenda!
Hongera sana hapo kwenye red. Sasa hao wanaume waliotaka kukutolea mahari walikuwa wana ku-onja-onja simultaneously au walitaka kukutolea mahari bila kuonja? Nataka tu kufahamu kuwa DSM ya leo bado wapo wanaume wanaotoa mahari kabla ya kugegeda.
Hongera sana hapo kwenye red. Sasa hao wanaume waliotaka kukutolea mahari walikuwa wana ku-onja-onja simultaneously au walitaka kukutolea mahari bila kuonja? Nataka tu kufahamu kuwa DSM ya leo bado wapo wanaume wanaotoa mahari kabla ya kugegeda.
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume bweg- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.
Nilitaka nisiongee lakini wacha niseme.
"
Kawaida mtu anaeongea sana hawezi kutenda!
We utakuwa umezowea ugomvi au ni kati ya wale wanawake tunaowata MAJIKE DUME......... mnyonge kwenye amani..???!!!
Anavopenda starehe huyo...waligonga sana mashine,labda atwambie walitumia condoms!
Tumewaza pamoja.AhsWanawake wenye misimamo sio chaguo la wanaume wengi, labda kama huyo mwanamke ni kwa ajiri ya kumtumia kwa sehemu maalum. Mwanaume kazoea (hata akikosea) kueleweshwa kwa lugha nyepesi/laini. Hata asipokubali papo hapo, lakin baadae itamrudia na kukubali mke wake alikuwa sahihi zaidi yake. Lakin kutumia misimamo/lugha msisitizo kumkosoa mwanaume kunamfanya mwanaume asifikirie hata kidogo point uliyoongea bali aina ya lugha uliyotumia.
ahahahah..mkuu umeua