The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,429
Acha uongo wewe. Waliozoea mfumo dume ni dunia nzima siyo waafrika. Jaribu kufanya utafiti kabla ya kuja na hitimisho la jumla. Anyways, najaribu kufundisha wanangu kufikiri kisomi na siyo kirejareja.
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume ----- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.