Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,175
- 48,459
- Thread starter
- #61
Hoja hapa si kujua kama Lowassa anafaa ama umepita muda wake. Tunataka kujua hatima ya "ufisadi" aliofanya kwenye Richmond!!Lowassa is out of date.....tuangalie waasiasa vijana wenye maono mapya