Lazima heshima irudi

The intellectuals use social media making $$...

The Mediocre uses social media to waste time, money, mind, well off..

All mankind is lost sababu wachafu ndiyo maeneo yao kuwarubuni ma dada mediocres...


In an information age being ignorant is the choice..

Hongera bigdada kwa kuchagua kuwa ignorant...

Internet of things!
 
Hivi jamaaa akitoka na mama yako au ndugu yako wa damu utajisikiaje? Usifanye maamuzi ya kulipa kisasi, achana nae! Move on.
 
we kinakuuma nini fanya na wewe ukiweza
 
Trust me,when it comes to sex,mwanaume hawajali sana kama nyie wanawake.So go ahead,gawa hiyo k,at your own risk.Hakikisha tu huo mgao unatufikia hata sisi maana tumo kwenye ukoo.....,.
 
point....
anafikiri..dhambi huzaa dhambi
Bali hekima huzaa busura

mwache........imeandikwa msinyimane kwa idhini ya Paul sio.sharia ya Mungu
 
Usipende kuwa mtu wa visasi. Inauma kwa jamaaako kutembea na rafiki yako. Lkn endelea na maisha yako. Ukigongwa na baba yake, hicho kitu hakitotoka akilini mwako. Kitakutesa maishani mwako
 
Hizi ni dhambi, fikiria baba yako apigwe picha yuko MTUPU! Baba yake kakusoea nini? Kumbuka KARMA is a BITCH will come back to haunt your ASS.
Mungu ...Mungu naskia umemtuma.mtu akafanye ushetan na bab mkwe .wake.

Munhu yupiiiii?jamniii
 
Unaikomoa chai kwa kuijaza sukari?
 
Punguza munkari bi Dada, fikiria kabla ya kutenda, sio utende ndio ufikirie, maana ukifanya hivyo utakuja kujutia tena humu na kuomba ushaur tena
 
Try to be expensive. Kujidhalilisha tuu.....unasema babake kakutumia friend reguest ....wapi?! Kwa maelezo yako na lengo lako wewe ndio ulimtafuta mzee wa watu acha kumsingizia
 
Maisha sio mapenzi tuu ndugu hadi ujishushie heshima kiac hicho....maishani yapo mambo mengi ya kufanya
 
hahahahhahaahhaha..kweli duniani kuna mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…