kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
Huyu jamaa ukimuangalia ana haraka waweza sema anamapozi
Lakini fikisha hoja yako yenye maslahi na taifa uone atakavyo ifatilia.
Kampeni yake ya kupinga ujangili hakika ni ya dhati na ya kuunga mkono.
Songa mbele Nyarandu
Lakini fikisha hoja yako yenye maslahi na taifa uone atakavyo ifatilia.
Kampeni yake ya kupinga ujangili hakika ni ya dhati na ya kuunga mkono.
Songa mbele Nyarandu