Lawrence Masha mmiliki wa ECO PROTECTION TANZANIA LTD

kweli kufa kufaana neema imemuangungukia aliyekuwa mbunge wa mwanza l. Masha
baada ya kupata tenda ya kubeba taka katika jiji la dar es salaam. Kama wewe ni mkazi wa
dar utakuwa umeyaona haya magari yakibeba taka kube mmiliki wake ni l masha


waste-management-truck_eco-protection-tanzania.jpg


haka kakijana kako wapi
 
Muhimu ni ubora wa huduma,bila kujali nani mnmiliki wa hii kampuni haya ndio magari ya takataka tunayotaka kuyaona kote Tanzania. Tunapambana na mfumo unaodidimiza maendeleo na sio mtu!Kwangu mtu akija na magari kama haya wala haitaji kushindanishwa ni kumpa maeneo na kusimamia kazi inafanyika!
hoja si kuwa negative bali ushirikiswaji wa jamii na masilahi yao ili kupata huduma , je yalizingatiwa?au ni nguvu ya pazia kulinda masilahi fulani mwisho inakuwa kampuni ya uda kuuzwa na ubungo termila kupewa kingunge.Huduma hakuna ambaye haitaki bali, je taratibi na misngi ya kulinda masilahi ya ummma ilizingatiwa?
 
Hawa jamaa magari yao ni bomba sana! Je hawezi kujitanua na sehemu nyingine za Dar? Hatumchukii mtu kama bali matendo mabaya ya mtu ndiyo yanayotupelekea kumchukia mpaka mwenyewe. Kama akifanya kitu kizuri kwanini tusimpe sifa zake. Big up Masha, kwa hili tupo pamoja Mkuu. Na kama unaweza kufikiria na maeneo mengine ya uwekezaji yenye upungufu, karibu sana utusaidie nduguzo.
 
hoja si kuwa negative bali ushirikiswaji wa jamii na masilahi yao ili kupata huduma , je yalizingatiwa?au ni nguvu ya pazia kulinda masilahi fulani mwisho inakuwa kampuni ya uda kuuzwa na ubungo termila kupewa kingunge.Huduma hakuna ambaye haitaki bali, je taratibi na misngi ya kulinda masilahi ya ummma ilizingatiwa?

Uko sahihi mkuu, hapa kitu kikubwa ni taratibu za kushinda hiyo tenda zilifuatwa au la. Kama zilifuatwa mimi sina shida na hiyo kampuni, kama hazikufuatwa basi kuna umuhimu gani wa kujiwekea taratibu katika kupata kampuni kupitia zabuni?
 
Hawa jamaa magari yao ni bomba sana! Je hawezi kujitanua na sehemu nyingine za Dar? Hatumchukii mtu kama bali matendo mabaya ya mtu ndiyo yanayotupelekea kumchukia mpaka mwenyewe. Kama akifanya kitu kizuri kwanini tusimpe sifa zake. Big up Masha, kwa hili tupo pamoja Mkuu. Na kama unaweza kufikiria na maeneo mengine ya uwekezaji yenye upungufu, karibu sana utusaidie nduguzo.

Big up kwa kazi nzuri sawa, lakini swali alipata hiyo tenda kiuhalali? Mwenye taarifa kamili tunaomba atujuze kidogo ili tujilizishe.
 
big up kwa kazi nzuri sawa, lakini swali alipata hiyo tenda kiuhalali? Mwenye taarifa kamili tunaomba atujuze kidogo ili tujilizishe.
uliapply ukakosa iyo tender ? Alipata kihalali na ndo maana yupo barabarani
 
Jamani tuangalie upande mzuri. Bora ya hawa wazawa wanaofanya wenyewe kuliko wale viongozi wanaowagawia izi kazi Wadosi na Makaburu kinyemela kwa vijisenti na Hela na rasilmali zetu zote zinaishia Canada na Sauzi.....Huyu jamaa hata akitengeneza bilioni ngapi kwa huu mradi mwisho wa siku hela yake ataitumia hapa(Trinity) hapa na tutamzika hapa hapa. C' on lets be possitive. Je huduma inayotolewa na hii kampuni ni nzuri? My answer is yes. na sina kinyongo cha kulipia 10000 kwa mwezi. service ni nzuri..
 
We unaweza kuta hata toroli huna,alafu unalalama kwanini masha kapewa hiyo tenda,wakati we hata vifaa huna.
 
we unaweza kuta hata toroli huna,alafu unalalama kwanini masha kapewa hiyo tenda,wakati we hata vifaa huna.
umeona babu wabongo tuna majelous ya kishamba kweli yaani,mtu hata kadustbin ka kukusanyia uchafu home kwake tu hana ila analalamika hapa
 
Pamoja na hayo...je alishinda tenda au ndio yaleyale ya UBT kwa Kingunge?

Magari tu yanavutia ni kumpa tenda afanye kazi. Siku zote tunakuwa negative lakin tuwe tunaangalia na uwezo wa mtu kufanya hivyo. Keenja alifanya kazi nzuri wakamtoa sasa mji ni mcha kupiga maelezo.

Kama kweli Masha kapewa hii aweke misimamo ya kazi yake kama Moshi, uone kama wachafu tuliozoea kutupa taka sehemu yoyote watafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom