Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,747
- 26,329
Pia ukijiondoa Chadema na kujiunga na CCM.Hakuna ubaya ila
Ubaya ni pale ukijiondoa uanachama ccm na kujiunga upinzani
Pia ukijiondoa Chadema na kujiunga na CCM.Hakuna ubaya ila
Ubaya ni pale ukijiondoa uanachama ccm na kujiunga upinzani
Kwani nyie mnapobatiza watu ni magisadi huwa mnayegemea nini na baadae kuwasafisha??Mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani?
Kwani nyie mnapobatiza watu ni magisadi huwa mnayegemea nini na baadae kuwasafisha??Mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani?
Ni haki yake, japo the timing sio nzuri sana.
Mtu anakuwa mwanachama wa chama Fulani kwa
Ukifika mahali ukajiona mapenzi yamepungua, malengo hayatatimia, sera hazieleweki, itikadi isiyoeleweka, uliowafuata hawana mpango, ushabiki uliokuwepo umepungua, hakuna mipango mkakati, hakuna tena hopes for opportunities, ushawishi na mkumbo vimekwisha, mtu hujikuta kujiamulia kujiondokea, au kwa kujiunga chama kingine, kurejea alikotoka, au kujipumzikia.
- Mapenzi
- Malengo
- Sera
- Itikadi
- Ufuasi
- Ushabiki
- Mipango mkakati
- Opportunities
- Mkumbo
- Ushawishi
We wish him all the best.
Paskali
Ataishia kutangatanga mwisho wa siku tutasikia kavaa Gamba na hicho ndo kitakuwa kifo chake kisiasa. Hatoamka tena.
Wako km dampo,hawachagui uchafu.Huyu ndo Chadema walikuwa wanawatukana CCM kwa Kumtema kweny Ubunge wa EA
Mbowe a jifunze kuacha kuamini Wanasiasa Mtumba
Tuliwaambia aliondoka CCM baada ya kukosa vyeo hawakuamini
Bunge lililazimishwa Mara mbili kumchagua Masha lakin lilakataa Leo Hii Masha hawaamini waliokuwa wanamuona anafaa!
Chadema anzeni kuamini Wanachama wazawa, tabia ya kuamua zaid Wahamiaji sio nzuri
Amechuchuka huyo.aende tu hakuna namna kwani kuwa mpinzani Tz kunahitaji kujikana nafsi sana.Ndo maana uvccm wanaumia Mbowe kuendelea kushikilia kiti,wanajua Kamanda ni mpinzani wa kweli,hana dau
..kweli upinzani tz una safari ndefu..huyu Masha kaona mwenzake nyalandu wameanza kuandamwa kwenye fukua makaburi ya waliohama ccm...hivyo ameamua kukimbia chadema mapema...huku ni kuwa coward tu...huyu Masha ametafta madaraka amekosa....amegombea ubunge Africa mashariki wamemdunduliza...sasa chance pekee ameona ni kutafta namna ya kurudi ccm...ili nae ikiwezekana aanze kumsifia mkulu Na apewe madaraka hata ya ukuu wa mkoa kama kina Adam Malima... Hapa hakuna cha uzalendo wala nini..ni tumbo tu...namna ya kupata ulaji....nchi hii Ina mchwa wengi sana kwenye..siasa
Cha ajabu ni haki yake ya kikatiba na kidemokrasia Chadema matapeli wakubwa mnatapeli wazungu mnajiita chama cha demokrasia wakati hamuheshimu Uhuru wa MTU kujiunga na chama chochote kikiwemo Chadema na kuhama na kuhamia chama chochote. Chadema matapeli wakubwa wa kisiasa.
Futa neno UKAWA, au anza na neno "mareh.Ukawa,manake ilishakufa kitamboooSio huyo tuu wapo wengi na masha hakua na ushawishi wowote... Yupo sumaye maana naye ushawishi ni Mdogo sanaaa.... Ifike mahala chama kitawaliwe na wanachama harisi na sio hawa hama hama.. Chama kiwe na watu ambao hawajawahi jiunga na chama kingine.....
Mfano
1.ccm imempa jina
2.imempa pesa
3.imempa vyeo
Kila kitu kapata hvyo nafsi inamsuta
Chadema itawaliwe na watu hawa
-Nyerere yeriko
-malisa
-yule kijana mmasai WA iringa olena...
Chadema inawatu wake na watu ndio hao wasio na chembe...
Naweza muamini kidogo bwana binamu bananga kweli anapambana chama kipate kitu sio yeye apate kitu...
Wana ccm nnao waamini walio hama toka ccm kuja ukawa
1.ester bulaya
2.binamu bananga
3.lowasa kidogo...
Alikuepogo vizuri tu,usijifanye umtambui sasa kwakua kaamua kuwachia manyoya.kwani alikuwepo mi sikujua kama yupogo