Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,882
- 26,602
Keshokutwa kamanda Shika atajiunga na chadema.Haidhuru..
Na vyama 900 itapendeza ...
Keshokutwa kamanda Shika atajiunga na chadema.Haidhuru..
Na vyama 900 itapendeza ...
Watakukana mkuuHuyu ndo Chadema walikuwa wanawatukana CCM kwa Kumtema kweny Ubunge wa EA
Mbowe a jifunze kuacha kuamini Wanasiasa Mtumba
Tuliwaambia aliondoka CCM baada ya kukosa vyeo hawakuamini
Bunge lililazimishwa Mara mbili kumchagua Masha lakin lilakataa Leo Hii Masha hawaamini waliokuwa wanamuona anafaa!
Chadema anzeni kuamini Wanachama wazawa, tabia ya kuamua zaid Wahamiaji sio nzuri
Lowasa na sumaye hawatoki Ng'oo pesa zao waliwakopesha ndio mkapata wabunge na madiwani wengi hawatoki hadi muwalipe chao .msile ruzuku lipeni madeni ya Lowasa na sumaye. Yale mafuriko zilikuwa pesa za lowasa ,sumaye na rafiki zao.Mzilipe kwanza maruhuni nyie hatoki mtuNi haki yako kutoa maoni haya. Na ukiona hujaridhika na mawazo haya kampige risasi kiongozi yoyote wa cdm. Ila mimi nimefurahi sana Masha kuondoka na kama kina kitu ameacha huko arudishiwe haraka tunamtakia kila la heri kwani hakuwa na mchango wowote zaidi ya kuwinda cheo.
Namuomba sana awashawishi Lowassa na Sumaye warudi kwenye nyumba yao kwani huku cdm wanateseka na hawana mchango wowote. Yeye na wao wamezoea siasa za kubebwa na dola na hawana uwezo wa siasa za hoja na ushawishi. Tunaomba waondoke maana tunawaona kama mapandikizi tu.
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Kego Masha atangaza Kujivua Uanachama wa CHADEMA.
- Adai upinzani hauna nia ya kutafuta fursa ya kuunda Serikali
Sawa mkuu naona ni mpiga ramli chonganishi maarufu hapa jamii forumFuta neno UKAWA, au anza na neno "mareh.Ukawa,manake ilishakufa kitambooo
Ya kwel mkuu au sitaki mbichi hizi ......mkuu.Kumbe alikuwa CHADEMA watu wengine hadi tunawasahau kama wapo.
Sawa labda bora sasa mkawekeza kwa Wema Sepetu..Hana impact yoyote upinzani, hata akarudi kesho CCM hawezi kumake any difference, Mwanaume gani unalia ovyo ovyo, unakosa u bunge E.A kilio anashindwa hata na Salum Mwalimu.
Atasema .....mkuuDa'Mange sijui atasemaje leo manaake alikuwaga anamsifia sana Masha.
Sungura........sitaki mbichi hizi.......Aende tu Mimi binafsi sikuona impact yake hata robo. Waliondoka akina Zitto tena kwa kufukuzwa, Dr. Slaa, yule jamaa sijui nani yule Katibu wa wizara ya maji nk. Hawa walikuwa ni watu wenye influence to the public but Chadema has remained with people. Yaani masha hata angeitisha mkutano Leo Mimi nisingeenda. Arudi zake alikotoka. Alidhani huku ni madili? No. Huku ni real kazi!!
Hata chama cha ukorofi (CHAU) Haupo mkuu.?Hahahahhha,bora mimi sina chama.
Hahahaha... Kumbe alikuwa muovu ee?Unaficha maovu yake kwenye koti la mtukufu asifukuliwe