Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
leo hujaingia deep nitakavyo ujue Ijumaa hii hunny bunny!!!
Ni kweli lakini na sie wakati mwingine tunakuwaga na gubu tu, kulalamika bila sabau ya msingi na kumpa karaha mwenzio!!! lakini ile ya 'deko' inalipa bana (tabu uwe na wako kama MJ1 na BHT vichwa ngumu)
mmh wakati wadekaji wakubwa kabisa ndo ninyi B! tamu hiyo......hyu anamdekea huyu, basi maishan yanakuwa sawa bin sawia!
unajua B, hata kukiwa na mahitaji lakini kukiwa na skills za kudeka, mbonma yatatimizwa tu fasta bila kuwa na feeling kwamba hizi ni lawama....umenisome eeh wa ukweli