60% ya walioajiriwa TISS sio Wazalendo, sio Waaminifu, sio Wanyenyekevu na pia sio Watiifu.Kati ya kundi ambalo latakiwa liwe mbele kujua mabaya ya Taasisi ni TISS, hawa walitakiwa wawe washajua vitu, wazuie, warekebishe.
Iweje Serikali ipate hasara na shirika la kijasusi lipo?
Kama halina nguvu, liongezewe nguvu.
TISS imejaa ukada
Wanapenda misifa sana. Kujionyeshaonyesha....unajua mi nani? Bure kabisa!!!Kabisa TISS ni wazembe sana
Wa kwetu sisi ni ubabe tu ndiyo wanauweza, tazama barabarani wakiwa na magari, ni fujo kwenda mbeleKati ya kundi ambalo latakiwa liwe mbele kujua mabaya ya Taasisi ni TISS, hawa walitakiwa wawe washajua vitu, wazuie, warekebishe.
Iweje Serikali ipate hasara na shirika la kijasusi lipo?
Kama halina nguvu, liongezewe nguvu.
TISS imejaa ukada
Napendekeza tiss ivunjwe pamoja na polisi zisukwe upya,,,,,,,,kwa kifupi zinapwaya.Samia anza na hili kundi
Afu karibu 90% wanapenda kutumia kinywaji aina ya Energy. Sijui wanakipendea nini hawa JAMAA!!! Au ndio code nini?Wa kwetu sisi ni ubabe tu ndiyo wanauweza, tazama barabarani wakiwa na magari, ni fujo kwenda mbele
MAMA SAMIA MBELE SAMIA MBELE MBELE...Ni raisi tu kapenda tujue hayo sijui ana amaana gani maana angeamua tusijue angemzuia tu huyo CAG maana uwezo anao.
Labda ana lake jambo si bure...
FBI imara ndio USA imara,TISS imara ndio Tanzania imara, shirika letu hili la kijasusi kuna sehemu lilichukua wrong turn, respect waliokua nayo imepotea na sasa wanaonekana wa kawaida tu, the way forward hapa tunahitaji katiba mpya ambayo itavifanya vyombo hivi viwajibike Bungeni na sio Magogoni au Lumumba street, CEOs wake watafanyiwa usaili na bunge na President hatakua na mamlaka ya kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila bunge kushirikishwa, pia katiba mpya itatupa taasisi itakayokuwa ina waratibu hawa Tiss kuona wanafanya kazi zao kisheria, pia police tutapata IPID ambao ni kama MPs wa Jeshi
Ndio maana sometimes nasema hawa jamaa kazi zao ni ndogo ndogo sana.
Inawezekanaje vipi wasijue Madudu kibao yanayoendelea nchini?
Mfano madai ya yule mwalimu wa Moshi,kama ni kweli au uongo wangepaswa wawe wamejua mapema na kutatua tatizo
Wana vimada kila sehemu tokea Dar hadi DdmAfu karibu 90% wanapenda kutumia kinywaji aina ya Energy. Sijui wanakipendea nini hawa JAMAA!!! Au ndio code nini?
Sokapo apaMAMA SAMIA MBELE SAMIA MBELE MBELE...
#TwenzetuShambani
Daah sio poa...kama madreva maroli au sio? Daah kweli sio poa aisee...mamaaaa!!!!Wana vimada kila sehemu tokea Dar hadi Ddm
Kibaha
Mlandizi
Chalinze
Morogoro
Dakawa
Dumila
Gairo
Kibaikwa
Mbande
Chamwino