Tisa ilisha jivua majukumu ya msingi na kuwa walinzi wa madhambi ya viongozi.Kati ya kundi ambalo latakiwa liwe mbele kujua mabaya ya Taasisi ni TISS, hawa walitakiwa wawe washajua vitu, wazuie, warekebishe.
Iweje Serikali ipate hasara na shirika la kijasusi lipo?
Kama halina nguvu, liongezewe nguvu.
TISS imejaa ukada
Acha Shobo za kijinga kwani ukishapres taarifa kinachofuata nini?Kati ya kundi ambalo latakiwa liwe mbele kujua mabaya ya Taasisi ni TISS, hawa walitakiwa wawe washajua vitu, wazuie, warekebishe.
Iweje Serikali ipate hasara na shirika la kijasusi lipo?
Kama halina nguvu, liongezewe nguvu.
TISS imejaa ukada
🤣🤣🤣🤣Kumbe hii nchi ina TISS!! Una hakika kweli?
Naskia kazi yao ni kukusanya na kutoa taatifa, kufanyiwa kazi au kuwekwa kabatini haiwahusu.Kati ya kundi ambalo latakiwa liwe mbele kujua mabaya ya Taasisi ni TISS, hawa walitakiwa wawe washajua vitu, wazuie, warekebishe.
Iweje Serikali ipate hasara na shirika la kijasusi lipo?
Kama halina nguvu, liongezewe nguvu.
TISS imejaa ukada
He!? Are you serious!?Dadavua kidogo hasara gani?
Sio shobo, ana hoja !! Tiss kazi yake ni kuzuia!! Sasa mpaka ikokee hasara ndio action ichukuliwe hapo Pana shida!??kijana ana hoja!!Acha Shobo za kijinga kwani ukishapres taarifa kinachofuata nini?
USSR
Tiss hawana mshamba kama huyo!Acha matusi, tena huenda wewe ni mmoja wa hao TISS ambao hawafanyi kazi yao ipasavyo