Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,142
- 7,402
Waache wapige pesa na wao wana familia..nakuhakikishia wanajua kila kitu..
Hii theory Ni kwenye paper..Naskia kazi yao ni kukusanya na kutoa taatifa, kufanyiwa kazi au kuwekwa kabatini haiwahusu.
Kwa hiyo TISS wote wamesoma sociology?Wakiajiliwa graduate wa fani ya uhasibu na uchumi watafaa zaidi kuliko hawa wataalam wa lugha na wana sociallogy.
Lijikite kwenye ulinzi uchumi zaidi kwa kufahamu biashara na impact zake kwenye uchumi.
Hiyo ni kama upo nje ya system kama TAL tena unatishia maslahi ya mabosi zao, lakini madelu au marope wanaweza chukua hela hazina na wakatembea tu.Hii theory Ni kwenye paper..
Kumbuka ukizingua kwenye siasa au ugaidi wanakusaka wanakuteka wanakupa kipigo au kukutoa uhai kabisa Tena Bila polisi kujua..
Zisukwe upya ziwe na mfumo upi?Napendekeza tiss ivunjwe pamoja na polisi zisukwe upya,,,,,,,,kwa kifupi zinapwaya.
rhetorical question this one.Kwamba ni wadokozi wa vifaa vya mama lishe?
Mfumo wa kibepariZisukwe upya ziwe na mfumo upi?
Ondoa hofu ndugu. TISS hawawezi kufanya hayo uliyosema. Ni waoga mno hao jamaa. Wanatabia kama za wakata mikaa au za makuri.Hii theory Ni kwenye paper..
Kumbuka ukizingua kwenye siasa au ugaidi wanakusaka wanakuteka wanakupa kipigo au kukutoa uhai kabisa Tena Bila polisi kujua..
Tufahamishe wewe unayefahamu.Wewe hufahamu lolote kuhusu TISS
Yes , fani ya uhasibu ...lakini wawe wamesoma OB ( organization behavior)Wakiajiliwa graduate wa fani ya uhasibu na uchumi watafaa zaidi kuliko hawa wataalam wa lugha na wana sociallogy.
Lijikite kwenye ulinzi uchumi zaidi kwa kufahamu biashara na impact zake kwenye uchumi.
[emoji851][emoji851]rhetorical question this one.
Mfumo wa kibepari unakuwaje mkuu?Mfumo wa kibepari
Hata mimi nahisi mama ana lake jambo zuri ambalo wana CCM wafia chama wamekasirika sana mama kuwa muwazi mpaka kwenye ripoti ya CAG.Ni raisi tu kapenda tujue hayo sijui ana amaana gani maana angeamua tusijue angemzuia tu huyo CAG maana uwezo anao.
Labda ana lake jambo si bure...
Acha uongo Ndugu, ....elimu haiwezi kamwe kuwabana viongozi hata siku Moja. Kinachoweza kufanya hivyo ni maarifa tu.Hata mimi nahisi mama ana lake jambo zuri ambalo wana CCM wafia chama wamekasirika sana mama kuwa muwazi mpaka kwenye ripoti ya CAG.
Mama anataka Watanzania waone jinsi nchi inavyotafunwa ili akili ije lakini Watanzania wapi, 2025 wapo bize na CCM mbele kwa mbele.
Jiulize ni kwa nini wafadhili huwa wapo chapu kutoa misaada katika sekta ua elimu ilhali hata huwa hawaji kuvuna wataalamu? Pamoja na sababu nyingine, lakini wanataka Watanzania wapate elimu waondoe ujinga ili wawabane viongozi wao nchi iendelee.
Ila naona kufananisha Marekani na Tanzania ni vitu viwili tofauti. Labda tufananishe nchi za Kiafrika zenye unafuu ambazo hazina mnasaba wa Wazungu, japo sidhani kama zipo, mana ukizitaja Botswana na Namibia unakuta kitu fulani kutoka kwa Wazungu.Kule hawana siasa kwenye maswala yanayohusu Nchi.
Tanzania siasa nyingi
Kule wamewekeza kwenye Elimu
Huku kwetu kujuana
Kule ajira ni za wazi, huku kwetu ajira ni Siri
Hayo hayo maarifa sasa. Njia mojawapo ya kusambaza maarifa ni kupitia kwenye elimu ambapo Mtanzania atapata maarifa tangu akiwa mdogo. Kama ni uzalendo apikwe akiwa mtoto. Kama ujasiri apikwe tangu akiwa mwanafunzi ndio maana katika somo la Civics kuna maarifa mbalimbali yanayohusu serikali na siasa kwa ujumla. Kama kuhoji, basi mtoto apewe maarifa hayo tangu akiwa mtoto.Acha uongo Ndugu, ....elimu haiwezi kamwe kuwabana viongozi hata siku Moja. Kinachoweza kufanya hivyo ni maarifa tu.
Unaelewa ulichoandika?Hayo hayo maarifa sasa. Njia mojawapo ya kusambaza maarifa ni kupitia kwenye elimu ambapo Mtanzania atapata maarifa tangu akiwa mdogo. Kama ni uzalendo apikwe akiwa mtoto. Kama ujasiri apikwe tangu akiwa mwanafunzi ndio maana katika somo la Civics kuna maarifa mbalimbali yanayohusu serikali na siasa kwa ujumla. Kama kuhoji, basi mtoto apewe maarifa hayo tangu akiwa mtoto.
Ignorant idiotTisa ilisha jivua majukumu ya msingi na kuwa walinzi wa madhambi ya viongozi.