[emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]Kumbe hii nchi ina TISS!! Una hakika kweli?
Kule hawana siasa kwenye maswala yanayohusu Nchi.
Tanzania siasa nyingi
Kule wamewekeza kwenye Elimu
Huku kwetu kujuana
Kule ajira ni za wazi, huku kwetu ajira ni Siri
Kah! Na pool table wanacheza pia??? Na kubet? Are you serious right now!!!! Chinekeeee!!!!Hawana lolote wale juzi kaja makamu wa raisi wa marekani wameambiwa wakae nje ya mfumo kwa siku tatu....na tulikuwa nao huko mtaani tunacheza pool table na Kubet.
Kwa ajili ya CHADEMA.Ndio wapo
Zis iz sirias!Tisa ilisha jivua majukumu ya msingi na kuwa walinzi wa madhambi ya viongozi.
90% ni makada na uvccm60% ya walioajiriwa TISS sio Wazalendo, sio Waaminifu, sio Wanyenyekevu na pia sio Watiifu.
Na ndio maana wengi wao hata tu kwa kuwatizama kwa macho ya kawaida , wanaonekana sio Mahodari, sio Majasiri, sio Mashupavu na pia sio Mashujaa.
Bure kabisa! TISS ya mchongo!!!
Kwahiyo ndo kusema...ukijiunga CCM ni rahisi kuwa TISS au sio?90% ni makada na uvccm
Yekhe mura!? Amang'ana ghao?Aisee kumbe...
.
Show off za kishamba tu,za kuchukulia madem na kutoa siri za kambi ndo mana matukio mengi ya ndani kabsaa unayakuta vijiweni kabla ata hayajatangazwa....Mfano hizi teuz za Mama.Wale jamaa wanapenda show off tu
Sasa si watoto wa vigogo huko ccm wapo kama sisi tu.Kah! Na pool table wanacheza pia??? Na kubet? Are you serious right now!!!! Chinekeeee!!!!
Kwamba ni wadokozi wa vifaa vya mama lishe?Afu jamaa wadhaifu sana waonapo wanawake ( hasa wanawake weupe na wenye Matako ; utakuta jitu linaonyesha mpaka kitambulisho au binduki mwanamke aone tu...astakafiruraaa dadeki wallah)
Kwenye sherehe...ukiwaona wameenda kulia chakula kwenye gari...ujue hizo sahani na vijiko lazima wapite navyo. Daah hawa jamaa sijui Wana display nini kwenye Jamii....
Kidogokidogo Jamii itaanza kuwachukuliwa poa tu! Wao wenyewe ndo wanajishushia brand kama walivyo matrafik ( kuomba omba vibukubuku mabarabarani)
Hahaha hahaha [emoji45]Hawana lolote wale juzi kaja makamu wa raisi wa marekani wameambiwa wakae nje ya mfumo kwa siku tatu....na tulikuwa nao huko mtaani tunacheza pool table na Kubet.