Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
- Thread starter
- #21
ccm wamefulia ndugu yangu hao ndio wenye dola huwezi kumlaumu yule ambaye hayuko jikoni hata cku moja
Aliyeko jikoni ni mpishi.
Mleta vya kupikwa yuko nje ya jiko.
ccm wamefulia ndugu yangu hao ndio wenye dola huwezi kumlaumu yule ambaye hayuko jikoni hata cku moja
Mkuu Exaud, kila Kundi lina wajibu wake, Wajibu wa CCM siyo sawa na wajibu wa vyama vya Upinzani ( kwa mfano).QUOTE]
Ndege,
Laiti moto unaotoka katika macho yako ungewaendea viongozi wote wakatambua wajibu wao.
Tuko pamoja mkuu.
kwani viongozi wa chama gani kingine wamewahi kuwa madarakani wakaboronga au wakafanya mema ili tuwapime? mpaka sasa nchi hii imewahi kutawaliwa na waheshimiwa wa ccm pekee na ndio tunaofahamu madudu waliyoyafanya na sina haja kuyaorodhesha hapa.
waswahili wanasema mwizi na hindi lake na hadi sasa mwizi tunayemwona na mahindi yetu yaliyoibiwa ni mwanaccm pekee. chadema, tlp au cuf alitawala lini hata tuone alivyokwiba au alivyofanya ubadhirifu?
lovulovu
;;;;;;;;;;;;;;;
Kwa hiyo Exaud na wenzako hata mfanye nini CCM haikwepi lawama na haisafishiki hata kwa kupiga rangi iache itajifia yenyewe kama WaTZ hawajataka kuiadabisha!!!! Huwezi kuwalaumu akina Zitto na Lipumba hawa jamaa si nao mabwege tu wanaganga njaa ya ruzuku they are all birds of the same colour !!
Sasa unataka na nani mwingine?MKEREME,
Mimi sipendekezi CCM ikwepeshwe lawama.
Lakini ni wao tu?
Asante kwa hoja matata.
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa sasa.
Nimefuatilia sana lawama zinazotolewa kwa viongozi mbali mbali wa nchi yetu Tanzania.
Kinachonipa wasi wasi ni kuona kuwa lawama hizo zinaelekezwa tu kwa wale viongozi ambao ni wana CCM.
Najiuliza haya:-
1. Ni kweli kwamba hakuna la maana wanalilifanya viongozi wana- ccm?
2. Je viongozi, Wabunge, nk. wa Itikadi nyingine za siasa hwana lawama?
Wako safi tu?
3. Viongozi wa taifa letu hawana lolote la kusifiwa?
Mbona lawama ndo nyingi zaidi? Na ni kwa wana- CCM tu?
Mimi nashauri mema yasemwe na mabaya pia .
Yasemwe hayo mema na mabaya bila kujali itikadi ya siasa ya mhusika.
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa sasa.
Viongozi wa taifa letu hawana lolote la kusifiwa?
Mbona lawama ndo nyingi zaidi? Na ni kwa wana- CCM tu?
Mimi nashauri mema yasemwe na mabaya pia .
Yasemwe hayo mema na mabaya bila kujali itikadi ya siasa ya mhusika.
Viongozi waliopo madarakani ni taswira ya wananchi waliowachagua.
Kwa hiyo mkuu sio lazima viongozi wetu wawe wanafanana na wananchi; inawezekana kabisa hawa ndugu ni 'species' ingine kabisa na wale wanaowaongoza!
..........................
Ustaarabu unatwambia kwamba kama wajibu unakushinda, kubali ukae pembeni, mwachie mwingine ajaribu. Lakini hivi sasa tunashuhudia CCM isivyokuwa tayari kupisha wengine na wanatumia hadi nguvu isiyo ya kawaida kung'ang'ania huku uwezo hawana. Exaud J. Makyao, haya huyaoni ? Matokeo yake kila kukicha wanazidi kuharibu ..........!
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa sasa.
Nimefuatilia sana lawama zinazotolewa kwa viongozi mbali mbali wa nchi yetu Tanzania.
Kinachonipa wasi wasi ni kuona kuwa lawama hizo zinaelekezwa tu kwa wale viongozi ambao ni wana CCM.
Najiuliza haya:-
1. Ni kweli kwamba hakuna la maana wanalilifanya viongozi wana- ccm?
2. Je viongozi, Wabunge, nk. wa Itikadi nyingine za siasa hwana lawama?
Wako safi tu?
3. Viongozi wa taifa letu hawana lolote la kusifiwa?
Mbona lawama ndo nyingi zaidi? Na ni kwa wana- CCM tu?
Mimi nashauri mema yasemwe na mabaya pia .
Yasemwe hayo mema na mabaya bila kujali itikadi ya siasa ya mhusika.
Unataka vyama vingine vilaumiwa kwa namna gani na mkataba gani?
ni nani anaesimamia na kuendesha uchumi wetu(ccm)
ni nani anaepanga bajeti yetu (ccm)
ni nani anaesimamia maendeleo yetu (ccm)
kwa kifupi serikali ina responsibillity zote za tanzania na watu wake, CCM ndio head na controller of every responsibility ya tanzania sasa umlaumu chadema sijui na kwa barabara mbovu nadahani unataka kuitwa mkichaa kwani wao ndio wapanga mikakati ya tanzania, ebu acha vituko Mh., alafu una chama???????