Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa kwa sasa.
Nimefuatilia sana lawama zinazotolewa kwa viongozi mbali mbali wa nchi yetu Tanzania.
Kinachonipa wasi wasi ni kuona kuwa lawama hizo zinaelekezwa tu kwa wale viongozi ambao ni wana CCM.
Najiuliza haya:-
1. Ni kweli kwamba hakuna la maana wanalilifanya viongozi wana- ccm?
2. Je viongozi, Wabunge, nk. wa Itikadi nyingine za siasa hwana lawama?
Wako safi tu?
3. Viongozi wa taifa letu hawana lolote la kusifiwa?
Mbona lawama ndo nyingi zaidi? Na ni kwa wana- CCM tu?
Mimi nashauri mema yasemwe na mabaya pia .
Yasemwe hayo mema na mabaya bila kujali itikadi ya siasa ya mhusika.
Nimefuatilia sana lawama zinazotolewa kwa viongozi mbali mbali wa nchi yetu Tanzania.
Kinachonipa wasi wasi ni kuona kuwa lawama hizo zinaelekezwa tu kwa wale viongozi ambao ni wana CCM.
Najiuliza haya:-
1. Ni kweli kwamba hakuna la maana wanalilifanya viongozi wana- ccm?
2. Je viongozi, Wabunge, nk. wa Itikadi nyingine za siasa hwana lawama?
Wako safi tu?
3. Viongozi wa taifa letu hawana lolote la kusifiwa?
Mbona lawama ndo nyingi zaidi? Na ni kwa wana- CCM tu?
Mimi nashauri mema yasemwe na mabaya pia .
Yasemwe hayo mema na mabaya bila kujali itikadi ya siasa ya mhusika.