GE2025 Laurence Masha nae kala za uso Nyamagana

GE2025 Laurence Masha nae kala za uso Nyamagana

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Nimekaa na wasukuma vizuri sana.Hawapendagi madharau.Wakishaona una madharau wakisema yayaaa gete get kwisha habari yako.
 
Kama alishindwa kujiwekea Akiba mapema atahangaika Sana
Huyu dogo ninamfahamu vizuri sana tulikuwa naye Marekani.Hela ya kubadili mboga kwake sio shida kama mimi na wewe.Ni hulka ya binadamu kutafuta power sababu status anayo yaani kisomo,Wealth anayo japo sio sana.
Kule Malimbe kuna hostel zinaitwa za Masha basi ni za kwake pia ana miradi mingine kando kando pia ni mwanasheria ana ile kitu inaitwa Ima advocate.
 
Huyu dogo ninamfahamu vizuri sana tulikuwa naye Marekani.Hela ya kubadili mboga kwake sio shida kama mimi na wewe.Ni hulka ya binadamu kutafuta power sababu status anayo yaani kisomo,Wealth anayo japo sio sana.
Angekuwa na hela asingelipwa hela na kiboko ya wachawi pale Buza ili aombewe na kutoa ushuhuda fake
 
Angekuwa na hela asingelipwa hela na kiboko ya wachawi pale Buza ili aombewe na kutoa ushuhuda fake
Inawezekana hakulipwa bali alianza mapema kutafta platforms za kuanza kumuweka mjini akiwa na malengo makubwa ya kuja kugombea.

Ile ya Kiboko ya wachawi ilikua ni mkakati katika mikakati yake ili aweze kurudi barabarani.
 
Inawezekana hakulipwa bali alianza mapema kutafta platforms za kuanza kumuweka mjini akiwa na malengo makubwa ya kuja kugombea.

Ile ya Kiboko ya wachawi ilikua ni mkakati katika mikakati yake ili aweze kurudi barabarani.
Kama huo ulikuwa mkakati wake basi hakuwa na mkakati mzuri
 
Kuna Mbunge ametoswa na wajumbe na alikuwa MTU wa totozi plus tungi


Na ana wake wawili , watoto wake kwa 80% bado tegemezi

Hana mradi wowote na ameanza kusumbuliwa na maradhi ya hela nyingi sasa nikifikiria hayo na umri wake 57 yrs simuoni akibaki salama kwakweli
Akajiajiri kama ambavyo siku zote wao husema, vijana wajiajiri.
 
Kuna Mbunge ametoswa na wajumbe na alikuwa MTU wa totozi plus tungi


Na ana wake wawili , watoto wake kwa 80% bado tegemezi

Hana mradi wowote na ameanza kusumbuliwa na maradhi ya hela nyingi sasa nikifikiria hayo na umri wake 57 yrs simuoni akibaki salama kwakweli
Na alipongeza mkataba wa dp world kumer tu hao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom